Plot4Sale Special Thread: Tunauza Viwanja maeneo mbalimbali

Plot4Sale Special Thread: Tunauza Viwanja maeneo mbalimbali

Still, wew kama sales rep wa kampuni unatakiwa utuambie kwanini kuwe na tofauti kubwa kama hiyo kwenye bei? Hakuna mtu atawachukulia kama ni kampuni makini kwa hili, na haswa wewe kushindwa kutoa maelezo kwanini iwe hivyo.
Kama nilivyosema hapo awali Kisota hapawezi kuuzwa 15,000/sqm, ingawa bei huwa inabadilika kutokana na kipindi mfano Kwa asahiv tuna Ramadhan offer,bei yetu Kwa sqm ni kama hiyo niloisema, Ahsante.
 
Property Investment Company, inawaletea ofa ya Viwanja maeneo ya Mbutu Kigamboni Katika kipindi hichi cha Kwaresma & Ramadhan,
✓Vipo upande wa baharini.
✓Vipo umbali wa km 17 kutoka fery.
✓Vipo umbali wa km 19 kutoka daraja la Nyerere.
✓Bei zetu ni rafiki 15,000/sgm
✓Malipo ni Kwa awamu, Kwa kianzio cha laki 5 kisha utalipa iliyobaki Kwa kila miezi 6.
✓Viwanja vyetu vimepimwa na vina hati.
✓Kutembelea site ni kila Jumatatu mpaka Jumamosi
✓Vipo vingi vyenye ukubwa mbalimbali,chaguo ni lako.
✓ Ofisi zetu zipo Ubungo Plaza.
✓Call/SMS/WhatsApp: 0712156900
KARIBUNI SANA.

IMG_20220413_150238.jpg
 
Property Investment Company (PIC),wanakuletea Viwanja Kwa bei ya ofa ndani ya kipindi hichi cha mwezi wa Ramadhan na Kwaresma, Viwanja vipo Misugusugu Kibaha mkoa wa Pwani:
✓Vipo karibu na Checkpoint (Ofisi ya wakala wa vipimo)
✓Bei ni kuanzia Million 4 na kuendelea.
✓Bei inategemea ukubwa wa kiwanja, ambapo 8000@1sqm.
✓Malipo utaanza na 50% kama kianzio kisha utamalizia kiasi kilichobaki ndani ya muda wa miezi 6.
✓Viwanja vimepimwa na vina hati.
✓Kutembelea site ni kila siku ya Jumatatu -Jumamosi.
✓Call/SMS/WhatsApp: 0712156900

IMG_20220414_122355.jpg
View attachment 2187096View attachment 2187097
 
PROPERTY INVESTMENT COMPANY wanakuletea ofa ya Viwanja chimbo jipyaa kabisa maeneo ya Kikombo Dodoma:
✓Eneo lipo jirani na shule ya Bunge(Shule ya Mfano) pia ni njia ya kuelekea Ihumwa na pia ni njia ya kuelekea makao makuu ya jeshi(Ngome).
✓Bei ni rafiki na unalipa Kwa awamu.
✓Viwanja vimepimwa na vina hati.
✓Bei yetu ni 5000/ Kwa sqm.
✓Kutembelea site kujionea Viwanja ni kila siku ya Jumatatu mpaka Jumamosi.
✓Call/SMS/WhatsApp: +255712156900 KARIBUNI SANA.

IMG_20220415_140336.jpg
 
Samahani mkuu,lakini una uhakika umewahi kuviona hivyo viwanja kweli?
 
Samahani mkuu,lakini una uhakika umewahi kuviona hivyo viwanja kweli?
Bila Samahani, Viwanja vipo bei ni kama tangazo linavyojieleza.. Mawasiliano yapo hapo au unaweza fika ofisini kwetu Ubungo Plaza Kwa Dar es Salaam au Capital City Mall Kwa Dodoma, Ahsante.
 
Bila Samahani, Viwanja vipo bei ni kama tangazo linavyojieleza.. Mawasiliano yapo hapo au unaweza fika ofisini kwetu Ubungo Plaza Kwa Dar es Salaam au Capital City Mall Kwa Dodoma, Ahsante.
nilikuwa namaanisha weka picha za viwanja rafiki angu.
 
PROPERTY INVESTMENT COMPANY LTD. Ili kukujali mteja wake hasa kipindi hichi cha Sikukuu inakuletea Viwanja Kwa bei ya kutupa,ushindwe wewe tu...Viwanja hivi vinapatikana Pangani Kibaha:

✓Ni Viwanja vizuri na vya kuvutia Kwa ajili ya makazi.
✓Vipo karibu na soko la loliondo.
✓Vipo karibu na stand kuu ya mabus ya maili moja.
✓Vipo Umbali wa 2.5 km kutoka Morogoro road.
✓Vipo karibu na barabara inayounganisha KIBAHA na VIKAWE.
✓Viwanja vimepimwa na vina hati.
✓Bei yake ni 9000@1sqm
✓Malipo utaanza na 50% kama kianzio kisha utamalizia kiasi kilichobaki ndani ya muda wa miezi 6.
✓Kutembelea site ni kila siku ya Jumatatu Hadi Jumamosi.
✓Tuna miradi ya Viwanja vingine maeneo ya Bunju, Madale, Kisota,Cheka,Mbutu, Vikawe Misugusugu, Mwasonga, na Kwa Dodoma maeneo ya Kitelela, Nala, Chamwino, Chahwa, Mtumba, Ihumwa, Iyumbu, Itega, Mahoma Makulu.
✓Kwa Mawasiliano zaidi Call/SMS/WhatsApp: 0712156900..
Ofisi zetu Kwa Dar es Salaam zinapatikana Nyuma ya Ubungo plaza, na Kwa Dodoma tupo Capital City Mall.
KARIBUNI SANA.View attachment 2189655

IMG-20220414-WA0011.jpg
 
Itega bei gani?
Karibu Mkuu,Itega limetengwa Kwa ajili ya ujenzi wa magorofa.
✓Bei ni kuanzia Million 35 na kuendelea.
✓Malipo ni cash au utalipa Kwa kipindi cha miezi mitatu.
Karibu Sana, ofisi zetu Kwa Dar es Salaam zinapatikana Nyuma ya Ubungo Plaza na Kwa Dodoma tupo Capital City Mall.
 
Nala bei gani bos.nahtaj maeneo ya pale sheli 2
Naam Boss,Karibu Property Investment Company Ltd.
✓Nala Viwanja vipo 2 kms kutoka barabara inayoelekea Singida na vipo karibu na mzani.
✓Pia vipo karibu na chuo cha DECOHAS
✓Bei yetu ni 6000@1sqm, na utalipa 50% kama kianzio kisha utamalizia kiasi kilichobaki ndani ya muda wa miezi 6.
✓Ukimaliza 90% ya malipo kabla ya miezi6 basi tutakutengenezea hati yako mapema zaidi.
✓Kutembelea Viwanja ni kila siku ya Jumatatu mpaka Jumamosi na ni bure.
✓Viwanja vyetu vimepimwa na vina hati.
✓Ofisi zetu zinapatikana Nyuma ya Ubungo plaza na Kwa Dodoma tupo Capital City Mall.
✓Call/SMS/Whatsapps: 0712156900
 
PROPERTY INVESTMENT COMPANY LTD. Inakuletea mradi mpya wa Viwanja katika jiji la Dodoma eneo la KITELELA:

✓Ni Viwanja vizuri na vya kuvutia Kwa ajili ya makazi,biashara na viwanda vidogo vidogo
✓Vipo jirani kabisa na eneo la airport mpya Msalato.
✓Viwanja vimepimwa na vina hati.
✓Bei yetu ni 3,500@1 sqm
✓Malipo ni kwa cash au utalipa kwa awamu ya kipindi cha miezi miwili hadi mitatu.
✓Kutembelea site ni kila siku na ni bure kabisa hamna gharama yoyote.
✓Tuna miradi mingine maeneo ya Nala, Chamwino, Chahwa, Mtumba, Ihumwa, Iyumbu, Itega, Mahoma Makulu, na Kwa Dar es Salaam Tuna miradi ya Viwanja maeneo ya Bunju, Madale, Kisota,Cheka,Mbutu, Vikawe Misugusugu, Mwasonga, Pangani.
✓Kwa Mawasiliano zaidi Call/SMS/WhatsApp: 0712156900..
✓Ofisi zetu Kwa Dar es Salaam zinapatikana Nyuma ya Ubungo plaza, na Kwa Dodoma tupo Capital City Mall.
KARIBUNI SANA
IMG_20220419_093116.jpg
 
PROPERTY INVESTMENT COMPANY LTD......Ni wakati wako kumiliki kiwanja Kigamboni Kwa bei nafuu kabisa,wekeza hujachelewa bado...Viwanja hivi vinapatikana Chekeni Mwasonga Kigamboni:

✓Ni Viwanja vizuri na vya kuvutia Kwa ajili ya makazi.
✓Vippo umbali wa Kilometres 45 kutoka fery.
✓Viwanja vimepimwa na vina hati.
✓Bei yake ni 7000@1sqm
✓Malipo utaanza na Million moja na Kwa vile Viwanja vikubwa utaanza kulipa 50% kama kianzio kisha utamalizia kiasi kilichobaki taratibu.
✓Kutembelea site ni kila siku na ni bure kabisa hamna gharama yoyote.
✓Tuna miradi ya Viwanja vingine maeneo ya Bunju, Madale, Kisota,Cheka,Mbutu, Vikawe Misugusugu, na Kwa Dodoma maeneo ya Kitelela, Nala, Chamwino, Chahwa, Mtumba, Ihumwa, Iyumbu, Itega, Mahoma Makulu.

**Ofisi zetu Kwa Dar es Salaam zinapatikana Nyuma ya Ubungo plaza, na Kwa Dodoma tupo Capital City Mall.
KARIBUNI SANA
✓Kwa Mawasiliano zaidi Call/SMS/WhatsApp: 0712156900

IMG_20220419_114835.jpg
 
Back
Top Bottom