Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Urusi wwmenyoka. Helkopta ilikuja angani, umerudi imebebwa
20220524_002056.jpg
 
URUSI WASUSA KUPIGANA DONETSK

Kikosi cha 3rd rifle battalion cha 105th rifle regiment wa DPR, wamegoma kupigana Donetsk kwa kile wanachodai hawakupewa mafunzo ya kutosha ya Kijeshi ya kupambana Frontline sababu wengi wao ndo wametoka Vyuo. Pia wanadaia 40% ya Kikosi chao Walikufa Mariupol, na sasa wanapelekwa Donetsk ambao wanajeshi wa kikosi hiki wanaendelea kufa. Wanadai wengi hawajapimwa afya kama Sheria ya Jeshi inavyosema hivyo baadhi wana magonjwa. Wamesema wataendelea kulinda nchi kama kiapo chao kilivyo.
20220524_074030.png
 
Hii nimesikia BBC leo asubuhi,taarifa ya wanajeshi wanaogoma ndo naiona humu na kama ni ya kweli kwa udikteta wa Kremlin aliyegoma kuuwawa ni sekunde.
Hawawezi kuwaua. Wana sababu za Msingi kuliko wale wanaojisalimisha kwa Ukraine kisa wameishiwa Risasi. Hawa wanasema hawakupewa mafunzo ya kupambana Frontline sababu kuna silaha hawajui kutumia kilichopeleka 40% ya wanajeshi wenzao kuuawa na Azov Huko Mariupol. Hadi Urusi ikapeleka kikosi cha Somalia Brigades kuwasaidia pamoja na Chechen
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Taarifa za huu Uzi unazipata wewe tu.
Mkuu, mimi kuwa na taarifa za Ukraine ni kawaida, na ninapost robo ya taarifa hizo🤣🤣. Labda ungesema taarifa zangu za uongo na ukaleta ukweli kunishushua ndo ingekuwa hoja.
 
Estonia imetenga robo tatu ya bajeti yake ya Wizara ya Ulinzi kuisaidia Ukraine. Hii hela watapewa kwa awamu ndani ya miezi 3.

Amesema msemaji wa rais Mykhailo Podolyak.

FYI: Huyu dogo msaidizi wa rais wa Ukriane, ana taarifa za ndani. Baada ya Putin kusema ataiteka Kyiv ndani ya siku tatu, alimjibu acha na siku tatu, ukiiteka Kyiv ndani ya mwezi nitajileta kwako uninyonge. Urusi wakaja na misafara ya vifaru hadi km 10 kutoka Kyiv. Tukaanza kuwachakaza km 50 kuyoka Kyiv. Wakakimbilia Mashariki na kusini mwa Ukraine. Hadi leo hawajarudi tena Kyiv 🤣🤣🤣
 
Kwa hiyo wanataka atoe vikosi vyake Ukurein vipi Kweli Putin alivokibuli atafanya hivo kweli?Je kifuatacho nini ngoja muda utupe majibu
Hahaha! Inaweza kuwa ndo king'ora kimelia au..Ngoja sisi huku Umasaini tuanze kuchimba vile vihandaki vyetu vidogodog i.e kiny-kinyi
Yaani nimecheka sana jinsi Warusi walivyokuwa wanakimbia baada ya kifaru chao kulipuliwa
View attachment 2236198
🤣 🤣 🤣 Kumbe Penye kifo hakuna cha mbabe wala masihara. Fight or Flight. You choose the best option immediately without delay. Kifaru cha nin bhana!?
 
URUSI WASUSA KUPIGANA DONETSK

Kikosi cha 3rd rifle battalion cha 105th rifle regiment wa DPR, wamegoma kupigana Donetsk kwa kile wanachodai hawakupewa mafunzo ya kutosha ya Kijeshi ya kupambana Frontline sababu wengi wao ndo wametoka Vyuo. Pia wanadaia 40% ya Kikosi chao Walikufa Mariupol, na sasa wanapelekwa Donetsk ambao wanajeshi wa kikosi hiki wanaendelea kufa. Wanadai wengi hawajapimwa afya kama Sheria ya Jeshi inavyosema hivyo baadhi wana magonjwa. Wamesema wataendelea kulinda nchi kama kiapo chao kilivyo.
View attachment 2236419
Oh, very simple bro. Wakiwaona au wakiweza, wawaambie wa-Ukraine kuwa "tuko huku jamani njooni mtuteke - mtuchukue mateka. Sisi hatutaki kupigana tena na nyie Tumechoka". 😂
 
Back
Top Bottom