figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #2,441
kwahiyo putin ameamua ajitekenye mwenyeweHawa jamaa ni Walinzi wa Putin, lakini Putin alipoenda kutembelea hositali, eti nao wakaenda kujifanya Wagonjwa akawa anasalimiana nao na kuwapa pole akijifanya ana huruma
View attachment 2240651
Na hii silaha Ukurein kamwomba USA muda mrefu Sana naona kakubaliwa na Hilo ni pigo kubwa kwa Rusia.Ni silaha nzito zinapiga Kwa shabaha kubwa na kuhalibu Kila kitu Cha adui.Silaha aina MLRS za Marekani. Ndo mzigo mpya Marekani wanapanga kuleta Ukraine. Wachambuzi wabasema, huu mzigo ni balaa. Utabadilisha game. Nawaonea huruma Urusi.
View attachment 2240634View attachment 2240635
Putin maigizo sanaHawa jamaa ni Walinzi wa Putin, lakini Putin alipoenda kutembelea hositali, eti nao wakaenda kujifanya Wagonjwa akawa anasalimiana nao na kuwapa pole akijifanya ana huruma
View attachment 2240651
Marekani amekuwa akikataa maana Ukraine ataanza piga ndani ya Urusi ili amtie hasara na yeyeNa hii silaha Ukurein kamwomba USA muda mrefu Sana naona kakubaliwa na Hilo ni pigo kubwa kwa Rusia.Ni silaha nzito zinapiga Kwa shabaha kubwa na kuhalibu Kila kitu Cha adui.
Dah, frontline ni hatari kwakweli. Hilo ni kombola na sio risasiAngalia Frontline wanavyopishana na risasi
View attachment 2240617
Nani kasema ni Kamikaze. Kamikaze ni Drone, wewe kwa akili yako unaona hii ni Drone?H
hii si. Kamikaze drone
Hata wewe usingetoa kirahisi huu mzigo. Zile sila za kwanza zililetwa zikayelekezwa kwenye godauni urusi Wakajiokotea. So walikuwa wanaogopa usiangukie mikononi mwa Adui. Sasa hivi kuna Wamarekani wengi Ukraine. Wanalinda vifaa vyao visitekwe. Wanahofia kuibiwa technologyNa hii silaha Ukurein kamwomba USA muda mrefu Sana naona kakubaliwa na Hilo ni pigo kubwa kwa Rusia.Ni silaha nzito zinapiga Kwa shabaha kubwa na kuhalibu Kila kitu Cha adui.
Halafu huyu ni Azov. Angalia kifuani kuna chata ya Azov. Huwezi kuwamaliza AzovDah, frontline ni hatari kwakweli. Hilo ni kombola na sio risasi