Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hawa jamaa ni Walinzi wa Putin, lakini Putin alipoenda kutembelea hositali, eti nao wakaenda kujifanya Wagonjwa akawa anasalimiana nao na kuwapa pole akijifanya ana huruma
View attachment 2240651
Hizi mambo hizi unatakiwa ukae kwa kutulia sana lasivyo mchana kweupe unaumbuka, sasa walizipataje hizi picha?

Hapo kuna team 2 zenye mnyukano wapangaji na wapanguaji.
 
Na mahasimu wao wakuu ni China, Russia, Iran na North Korea, na huko Ukraine watakuwepo wengi tu kufuatilia vita inavyoendelea na kuchunguza silaha zinazotumika ili waibe teknolojia.

Umenikumbusha kitu.Kipindi kile cha vita ya ya pili ya dunia, Mjerumani alivyoivamia Poland na kuiteka, wale wanajeshi waliobahatika kukimbia wakaomba silaha kutoka kwa Allied ambaye alikuwa ni US na Britain.

Zile silaha zikatumwa badala ziwafikie walengw zikaangukia kwa Wajerumani, kwahiyo mpango wao ukawa umefail.

Haya mambo yasipokuwa well calculated huangukia kwa adui na huyo huyo adui anazitumia kukupiga wewe.Wanachokifanya ni sahihi sana.
 
Wanajeshi wa Urusi hawana Morali ya Vita kabisa. Kushambulia makombora mawili tu, wanatelekeza vifaru na kukimbia. Angalia mzigo wote huu wameuacha tukajiokotea🤣🤣🤣
Your browser is not able to display this video.
 
Hapa ni kwenye kijiji cha Novopil mpakani mwa Mkoa wa Donetsk na Zaporizhia, Kikosi cha Azov 98th Azov Battalion wanaonekana wakiwa wanatumia 9M113 Konkurs pattern ATGM kiwashambulia Urusi. Inatema moto balaa
Your browser is not able to display this video.
 
Kifaru cha Urusi aina ya Msta-S 152mm self-propelled howitzer kimetelekezwa katikati ya barabara. Tukiwapelekea moto, Wanapanda Mavieite na kukimbia🤣🤣.
Your browser is not able to display this video.
 
Angalia Mbinu ya Ukraine wwliyoitumia kulipua Vifaru viwili vya Urusi
Your browser is not able to display this video.
 
Huyu ni Patron mbwa wa Ukraine anayezidi kupata tuzo nyingi zaidi baada ya kuendelea kugundua mabomu yalotegwa
 
Waziri wa Ulinzi Oleksiy Reznikov amesema Ukraine tumepokea Harpoon anti-ship missiles,

Kwa msaada wa watu wa Denmark.
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…