figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #2,501
Tunawapelekea moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa ufafanuzi. Mana ukiangalia hiyo magazine yake jamaa wanatumia inaoenkana inabeba mzigo haswaaas. Nadhani itakua ndio hiyo 75 labdaKuna ambazo zimewekewa Sniper Scope japo Snipers naona hawazipendi.
View attachment 2242807View attachment 2242808
Wanajeshi wa Urusi hawana Morali ya Vita kabisa. Kushambulia makombora mawili tu, wanatelekeza vifaru na kukimbia. Angalia mzigo wote huu wameuacha tukajiokotea🤣🤣🤣
View attachment 2242333
Hakika nyie Warusi damu zisizo na hatia mnazomwaga hazitawaacha salama.Hawa Watu walikutwa na Wanajeshi wa Urusi kwenye supermarket ya Mariupol, Wakauliwa wote. Hamna mwanajeshi hata mmoja hapa. Warusi wakiwa Frontline wanaua kila mtu. Ndo wanaotetea Waruso wajue wanatetea nini. Warusi wanaua wazee na Watoto, muhimu kwao ni kama ni Raia wa Ukraine. Ukishasema ni raia wa Ukraine wanakuua. Ndo maana nasimama na Ukraine.
View attachment 2243435
Afu kuna watu wanasema Urusi inajua kupiganaHawa Watu walikutwa na Wanajeshi wa Urusi kwenye supermarket ya Mariupol, Wakauliwa wote. Hamna mwanajeshi hata mmoja hapa. Warusi wakiwa Frontline wanaua kila mtu. Ndo wanaotetea Waruso wajue wanatetea nini. Warusi wanaua wazee na Watoto, muhimu kwao ni kama ni Raia wa Ukraine. Ukishasema ni raia wa Ukraine wanakuua. Ndo maana nasimama na Ukraine.
View attachment 2243435
Dah! Pole na wewe maana hali anayoipitia hata wewe unaifeel, mpe pole na kumtia moyo vita iko siku itaisha.Slava Ukraina nipo zanzibar hapa ninaishi geto Moja na mwanangu mkimbizi toma Ukraine.
I feel their Pain and suffering.
Slava Ukraina ndio Salam yangu na huyu mwana kila asubuhi.
Dah! Laiti kama wangetundikwa "drip" hapo-hapo ingependeza sana yan au hiyo meli iking'oa nanga tu inapotezwa kabla haijafika mbali na mzigo wa wizi. 😳 Wizi haukubaliki; Wizi ni dhuluma.Mariupol: Urusi wameanza kuiba chuma cha Azov. Wameleta meli inabeba Chuma chote kilichopo Azovstal. Urusi wezi sana.
View attachment 2244441
Mimi namlaumu zelensky alowaambia Azov wajisalimishe. Wao walitka walinde kiwanda mwanzo mwisho. Pale kuna utajiriDah! Laiti kama wangetundikwa "drip" hapo-hapo ingependeza sana yan au hiyo meli iking'oa nanga tu inapotezwa kabla haijafika mbali na mzigo wa wizi. 😳 Wizi haukubaliki; Wizi ni dhuluma.
Basi tena imeshakuwa hivyo; lakini Mungu kwa uweza wake anaweza akafanya jambo. Inasikitisha sana mkuu. 😩Mimi namlaumu zelensky alowaambia Azov wajisalimishe. Wao walitka walinde kiwanda mwanzo mwisho. Pale kuna utajiri
Mkuu; Hao Z ndo kina nani tena?? Mbona alama Z ni ya Mrusi. Hata vifaru vyake vina chata -label Z? au 🤣Urusi tembeza kichapo mpaka wanyoooke hao
Z
[emoji846][emoji846][emoji846]Mkuu; Hao Z ndo kina nani tena?? Mbona alama Z ni ya Mrusi. Hata vifaru vyake vina chata -label Z? au [emoji1787]