Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hawa Watu walikutwa na Wanajeshi wa Urusi kwenye supermarket ya Mariupol, Wakauliwa wote. Hamna mwanajeshi hata mmoja hapa. Warusi wakiwa Frontline wanaua kila mtu. Ndo wanaotetea Waruso wajue wanatetea nini. Warusi wanaua wazee na Watoto, muhimu kwao ni kama ni Raia wa Ukraine. Ukishasema ni raia wa Ukraine wanakuua. Ndo maana nasimama na Ukraine.
20220529_151814.jpg
 
Hiki kifaru tumekikuta kipo loaded. Tuneamua kukitumia dhidi yao
 
Wanajeshi wa Urusi hawana Morali ya Vita kabisa. Kushambulia makombora mawili tu, wanatelekeza vifaru na kukimbia. Angalia mzigo wote huu wameuacha tukajiokotea🤣🤣🤣
View attachment 2242333

Hawa Watu walikutwa na Wanajeshi wa Urusi kwenye supermarket ya Mariupol, Wakauliwa wote. Hamna mwanajeshi hata mmoja hapa. Warusi wakiwa Frontline wanaua kila mtu. Ndo wanaotetea Waruso wajue wanatetea nini. Warusi wanaua wazee na Watoto, muhimu kwao ni kama ni Raia wa Ukraine. Ukishasema ni raia wa Ukraine wanakuua. Ndo maana nasimama na Ukraine.
View attachment 2243435
Hakika nyie Warusi damu zisizo na hatia mnazomwaga hazitawaacha salama.
 
Hawa Watu walikutwa na Wanajeshi wa Urusi kwenye supermarket ya Mariupol, Wakauliwa wote. Hamna mwanajeshi hata mmoja hapa. Warusi wakiwa Frontline wanaua kila mtu. Ndo wanaotetea Waruso wajue wanatetea nini. Warusi wanaua wazee na Watoto, muhimu kwao ni kama ni Raia wa Ukraine. Ukishasema ni raia wa Ukraine wanakuua. Ndo maana nasimama na Ukraine.
View attachment 2243435
Afu kuna watu wanasema Urusi inajua kupigana
 
Slava Ukraina nipo zanzibar hapa ninaishi geto Moja na mwanangu mkimbizi toma Ukraine.

I feel their Pain and suffering.

Slava Ukraina ndio Salam yangu na huyu mwana kila asubuhi.
Dah! Pole na wewe maana hali anayoipitia hata wewe unaifeel, mpe pole na kumtia moyo vita iko siku itaisha.

Vita mbaya sana iskieni tu.
 
Mariupol: Urusi wameanza kuiba chuma cha Azov. Wameleta meli inabeba Chuma chote kilichopo Azovstal. Urusi wezi sana.
 
Tunasepa na Kijiji. Wametelekeza kifaru, tumekichukua sasa tunawakimbiza. Warusi hawana chao Ukraine. Ni wavamizi tu.
 
Mariupol: Urusi wameanza kuiba chuma cha Azov. Wameleta meli inabeba Chuma chote kilichopo Azovstal. Urusi wezi sana.
View attachment 2244441
Dah! Laiti kama wangetundikwa "drip" hapo-hapo ingependeza sana yan au hiyo meli iking'oa nanga tu inapotezwa kabla haijafika mbali na mzigo wa wizi. 😳 Wizi haukubaliki; Wizi ni dhuluma.
 
Dah! Laiti kama wangetundikwa "drip" hapo-hapo ingependeza sana yan au hiyo meli iking'oa nanga tu inapotezwa kabla haijafika mbali na mzigo wa wizi. 😳 Wizi haukubaliki; Wizi ni dhuluma.
Mimi namlaumu zelensky alowaambia Azov wajisalimishe. Wao walitka walinde kiwanda mwanzo mwisho. Pale kuna utajiri
 
Back
Top Bottom