figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #2,521
Tumeanza kuwawinda Warusi kwa kutokea juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii vita ndo maana US hataki mpa Ukraine silaha za mbali ndani ya Urusi maana Ukraine atalipiza kisasiHawa Watu walikutwa na Wanajeshi wa Urusi kwenye supermarket ya Mariupol, Wakauliwa wote. Hamna mwanajeshi hata mmoja hapa. Warusi wakiwa Frontline wanaua kila mtu. Ndo wanaotetea Waruso wajue wanatetea nini. Warusi wanaua wazee na Watoto, muhimu kwao ni kama ni Raia wa Ukraine. Ukishasema ni raia wa Ukraine wanakuua. Ndo maana nasimama na Ukraine.
View attachment 2243435
Mwendo wa kuwapiga chepe tuWavamizi wa Urusi wakiwa wanasubiri sanda na Jeneza.
View attachment 2245902View attachment 2245903View attachment 2245904View attachment 2245905