Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Endelea kucheka cheka mtoto wa kiume. Watu timeweka kambi apa mwezi wa 5 huu mrusi anahangaika na la nchi ambako hakafiki hata 1/10 ya ukubwa wake
Nikijisikia kucheka nakuja kwenye uzi huu nachekaaaa kisha nalala zangu.

Mtu anajipa maelezo yeye mwenyewe, anacheka, anacomment, anaquote mwenyewe dah vituko sana hivi.
Toro
 
Kuna livamizi limekufa leo, bado hatujapata jina. Atakaa kwenye jokofu hadi wamuombe wenyewe
 
Dmitry Evdokimov kutoka Cheboksary urusi, aliangushwa na ndege yake juzi alhamis huko Wilayani Velikonovselkovsky, Mkoani Donetsk
 
July lazima Warusi wataikimbia Ukureine kwa Sababu maandalizi ya kuleta siraha kutoka westerners yanakamilika mwezi huu na muda huo NATO ndo wataingia moja kwa moja kuwasaidia Ukerein.Maafa kwa Urus yatakua makubwa Sana .
Walishaona Urusi hana madhara ndo maana Wamekija full. Marekani wamsema Urusi ilikiwa overrated kwa uwezo wa Silaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…