Asante,Ngoja nijaribu hiiTumia njia hii.
1-select hiyo reply unayotaka kuona video
2-nenda kulia juu kuna dots 3
3-bonyeza hapo kisha chagua Open in Browser
4-Pop up itatokea utachagua browser yako kisha yenyewe itaload tu hiyo post
View attachment 2305239
Hilo daraja labda pikipiki na watembea kwa miguu, hapo hakuna gari itayopitaYaani Daraja la Antonovsky nilitamani lishuke kabisa. Ila naona kuna nondo bado zinashikilia japo hamna kifaa kizito kinaweza kukatiza. Ukraine tujipange upya waondoke na nguzo.. Si haba. Urusi kama wana akili wakimbie haraka. Ikipigwa hapa tena, hapasalii kitu
View attachment 2305507
... figganigga alituwekea picha ya zana kutoka Marekani jukumu lake la msingi ni kuvuruga mawasiliano/rada; naona matokeo yameanza kuonekana.Urusi yatungua helicopter yake ya kivita, baada ya helicopter hiyo kushambulia kambi za Urusi kimakosa huko Kherson
Askari wote wa Urusi wazuiwe wakamate kama ndege usiku kwenye kiotaYaani Daraja la Antonovsky nilitamani lishuke kabisa. Ila naona kuna nondo bado zinashikilia japo hamna kifaa kizito kinaweza kukatiza. Ukraine tujipange upya waondoke na nguzo.. Si haba. Urusi kama wana akili wakimbie haraka. Ikipigwa hapa tena, hapasalii kitu
View attachment 2305507
Risasi za Kikatili za vijana wasio na kanuni Azov
View attachment 2305011
Duuh hizi ni nini mkuu hilo wingu linalotimka hapo sio mchezo mzee.
Safi sana. Wanavyokimbia kama nyoka kaona moto 😂😂. HIMARS haijawaona ikawa block na kuteketeza fisi hao.Wakuu, Urusi baada ya kuona daraja la Antonovsky limebomolewa, wameogopa kuzingirwa, wameamua kuanza kuretreat. Wanaelekea Crimea. Ila daraja ndo Vifaru havipiti tena.. Wanavuka kwa Miguu. Wameanza kuikimbia Kherson wanaelekea Peninsula ya Crimea. Donbas napo hapakaliki.
View attachment 2306106