Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

HIMARS ananipa raha sana. Ikikuona tu umekwisha. Sasa naanza kuelewa kwa nini warusi wanachimbia vifaru chini na kuvifunika mabati.
Halafu wanaume wakija wanavitelekeza hapo na kukimbia hata bila viatu. Shenz type.
 
Urusi imetaja nchi rafiki kutoka Afrika, Tanzania haimo. Sasa Waletwe watu wao Frontline. Watakula risasi za kichwa. Nchi rafiki walizotaja ni: Burundi, Guinea, Cameroon, Mali, Sudan, Uganda, Chad, Ethiopia na South Afrika.
Your browser is not able to display this video.
 
Haya ndo Makombora aina ya Harpoon. Yana speed kubwa. Yakitua yanakuwa na uzito wa kg 225. Yametoka Marekani. Hii inamanisha ni mipango ya kulipua daraja la Crimea
Your browser is not able to display this video.
 
Naona Urusi wabataka kutoroka na mzigo wako. Hapa ni Dzhankoy huko Crimea. Hapa kuna risasi sijui tuite Makombora pamoja na Magari aina ya BM-21 Grad MLRS yapo pembeni ya reli, wabasubiri treni hawa. Wanataka kutoroka ukute🤣🤣🤣

Walikuja kufanya nini sasa? Watulie
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…