figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #5,781
Kazi ya jeshi ni kifo mkononi, kwa nchi zenye vita
Mrussi anaionja Joto ya jiwe. πββοΈ πββοΈ
Ni kweli ila kwa hili Sio kwa mapenzi yao hao wanajeshi ila Huyo Joka ndo kawafikisha hapo. Vita inakuwa ni pale tu ambapo hakuna tena muhali ili suluhu ipatikane. Lakini Mrussi hakuwa na sababu yoyote ya kimsingi ya kuanzisha hiyo vita baina yake na Ukraine. Ni ubabe tu lakini sasa Mrussi anajutia na imekuwa ni aibu kubwa kwake.Kazi ya jeshi ni kifo mkononi, kwa nchi zenye vita
Wanajeshi wa Urusi walioko Ukrane wangejisalimisha tu wote, waombe na uraia wa huko huko, ili kunusuru vifo vyaoNi kweli ila kwa hili Sio kwa mapenzi yao hao wanajeshi ila Huyo Joka ndo kawafikisha hapo. Vita inakuwa ni pale tu ambapo hakuna tena muhali ili suluhu ipatikane. Lakini Mrussi hakuwa na sababu yoyote ya kimsingi ya kuanzisha hiyo vita baina yake na Ukraine. Ni ubabe tu lakini sasa Mrussi anajutia na imekuwa ni aibu kubwa kwake.
Kwa kweli ingependeza sana. Changamoto kubwa inakuwa ni pale watakapojisalimisha na kwa bahati mbaya wakajikuta wamejisalimisha mikononi mwa vijana wasio na kanuni - AZOV. AZOV hawachukui mateka kwa madai kwamba hawana muda wa kuwalinda wasitoroke na pia hawana chakula cha kuwalisha. Isitoshe wana hasira sana na Mrussi kwa kile Mrusi alichowatendea kule Mariopol (Kiwanda cha chuma). Kwa hiyo wao huwaua tu.Wanajeshi wa Urusi walioko Ukrane wangejisalimisha tu wote, waombe na uraia wa huko huko, ili kunusuru vifo vyao
Wanageuka kuwa popo. Alivyoning'inia πππ
Mbona kama namuona Karim benzemaWarusi wanajuta
View attachment 2349396
Hata mimi nina kiu nazo sana. Tupate walau kidogo tu - please.Nangojea updates za leo
Maana leo nasikia mrusi kanyoosha maelezo...uzuri wa Ukraine wanakimbiza mbwa kimya kimya...ukija kusikia bwaaiiih..! Kavunjwa miguu..Hata mimi nina kiu nazo sana. Tupate walau kidogo tu - please.
Asee; Ukraine namkubali mno. Iko akili mingi. Yaani Ukraine anatwangaaa (silently)baadaye ukijashtuka hata bendera ya Ukraine zilishapandishwa kitambo. Ila tuwe wakweli, Mrusi anadhalilishwa kishenzi yan. Hata wale pro-Russia huku kwetu bongo naona wamejikatia tamaa wapo kimyaaa Utafikiri wanapata poo.Maana leo nasikia mrusi kanyoosha maelezo...uzuri wa Ukraine wanakimbiza mbwa kimya kimya...ukija kusikia bwaaiiih..! Kavunjwa miguu..
Wamebakia kusema kuna kitu mrusi anakisikilizia π π π πAsee; Ukraine namkubali mno. Iko akili mingi. Yaani Ukraine anatwangaaa (silently)baadaye ukijashtuka hata bendera ya Ukraine zilishapandishwa kitambo. Ila tuwe wakweli, Mrusi anadhalilishwa kishenzi yan. Hata wale pro-Russia huku kwetu bongo naona wamejikatia tamaa wapo kimyaaa Utafikiri wanapata poo.
Maybe anasikilizia "Drip" inavyoingia. Jitu lenye makelele mengi ukiona' paaap! limekuwa kimyaa ujue liko mahututi au ndo kwishney kabisa liko mochuari.Wamebakia kusema kuna kitu mrusi anakisikilizia π π π π
Halafu Putin ni mpumbavu mno anatishia watu kuwa ana nyuklia, hivi katika dunia ya leo ambayo hadi m-south Africa anayo nyuklia unaweza kweli kumtishia mmarekani ambaye aliitumia kwa vitendo karne ya 19 kweli..??Maybe anasikilizia "Drip" inavyoingia. Jitu lenye makelele mengi ukiona' paaap! limekuwa kimyaa ujue liko mahututi au ndo kwishney kabisa liko mochuari.
Ndo hapo sasa unamtishia mtu mzima "Nyau" kama mtoto. Huyo jamaa amedhihirisha utaahira alionao kwa kutishia kulipua vile vinu vya nuklia vilivyoko Ukraine na ambavyo yy ndo alikuwa anavihodhi kiubabe na kusahau kwamba nuklia hizo hazitobagua mlipuaji na mlengwa. Wote Mrusi,Ukraine na Mataifa mengine duniani yataathirika vibaya. Ameshasahau ajali ya Chernobyil. Huyo dish limeyumba kabisa.Halafu Putin ni mpumbavu mno anatishia watu kuwa ana nyuklia, hivi katika dunia ya leo ambayo hadi m-south Africa anayo nyuklia unaweza kweli kumtishia mmarekani ambaye aliitumia kwa vitendo karne ya 19 kweli..??
Nangojea updates za Izyum. Nataka kuona jinsi fascist iliyotoka mbio wanaume wakaingia kiulani.Nangojea updates za leo
Kuna tetesi kwamba jamaa (Putin) kawaamuru wanajeshi wake kukimbia na kuyaacha maeneo na silaha kwa jinsi wanavyoona ni hatari kubwa kwao ili kupunguza idadi ya wanaokufa/uawa katika mtifuano unaoendelea.Nangojea updates za Izyum. Nataka kuona jinsi fascist iliyotoka mbio wanaume wakaingia kiulani.