figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #7,261
Ile ikija vita inaisha.Ni π¨ π¨ π π kwa Mrussi endapo itaingia mzigoni kama ilivokuwa HIMARSπββοΈ
Safi sana. Kazi yao nzuri ππππHii ni Collection ya Kikosi cha Azov. Wameacha kupost kila siku sababu Mrusi anadetect walipo. So wanaweza kaa kimya hata siku tatu then wakatuma ripoti. Azov na Urusi ni mafuta na maji
Hii vita inatakiwa iendelee hata miezi 8 mingine ili tuone msuli wa anayejiita mbabe wa dunia eti wa kupigana na USA na NATOIle ikija vita inaisha.
Umbali huo ni sawa na kutoka Kimara mpaka posta tu!
Kumbuka kila nchi ya nato ina uwezo wa kupambana na Urusi. Hadi sasa Urusi katepeta. Mfano Marekani hajaleta Meli hata moja. Hajaleta ndege. Anasaidia ardhini tu. Akija angani na majini itakuwaje?Hii vita inatakiwa iendelee hata miezi 8 mingine ili tuone msuli wa anayejiita mbabe wa dunia eti wa kupigana na USA na NATO
Absolutely true.Kumbuka kila nchi ya nato ina uwezo wa kupambana na Urusi. Hadi sasa Urusi katepeta. Mfano Marekani hajaleta Meli hata moja. Hajaleta ndege. Anasaidia ardhini tu. Akija angani na majini itakuwaje?
Absolutely true.
USA, NATO na washirika wao wameamua na wanataka Russia aanguke kama enzi za Soviet. Safari hii kanasa mtego wao, hataweza kujinasua. Lazima Russia awe paralyze kiuchumi na kijeshi.
NATO na USA wakiamua wamalize vita hii hata mwezi hauishi. They are killing him softly.
Euthanasia.Absolutely true.
USA, NATO na washirika wao wameamua na wanataka Russia aanguke kama enzi za Soviet. Safari hii kanasa mtego wao, hataweza kujinasua. Lazima Russia awe paralyze kiuchumi na kijeshi.
NATO na USA wakiamua wamalize vita hii hata mwezi hauishi. They are killing him softly.
Umesikia kutoka kwa nani mkuu?Nasikia Offensive ya Kherson leo imekwama kwa Ukraine, Warusi wamejizatiti vyema hii ikoje?
Itakuwa hapatoshi - patachimbikaKumbuka kila nchi ya nato ina uwezo wa kupambana na Urusi. Hadi sasa Urusi katepeta. Mfano Marekani hajaleta Meli hata moja. Hajaleta ndege. Anasaidia ardhini tu. Akija angani na majini itakuwaje?
Hujasikia kuwa maiti 14 miongoni mwa maiti zilizorudishwa Urusi ni mobilised waliojiunga 23/09/2022.Nasikia Offensive ya Kherson leo imekwama kwa Ukraine, Warusi wamejizatiti vyema hii ikoje?
Wewe Jamaa kumbe mshamba hivyo!!! hizo ni lugha za kawaida tu naona mmekazania hilo neno muhuni bila kuelewa mantiki nzima YA hiyo comment.Walishazungumza. Putin anataka aachiwe mikoa motano ya Ukraine iwe Urusi ili na yeye aache kuishambulia Ukraine. Hamna wa kukubali. Pili, unapokuja kupost huku tumia lugha ya heshima au kaa kimya. Huwezi kumuita rais wetu Muhuni. Yaani unamchukulia Zelensky kama baba yako sio? Unaonesha una makuzi mabovu, huwezi kaa kwenye jamii iliyo starabika
Hakika watu wa odessa ni makiniIla jamani Odessa wamejitahidi sana, Mrusi hajawahi shambulia kambi yoyote ya Jeshi, wakati ipo karibu na black sea. Kuna makombora machache yanaponyoka na kuharibu barabara na majengo ya Raia. Odessa ni mji unaongoza kwa Makombora ya urusi kudakwa angani. wapo vizuri.. Wana Mahandaki yanayolindwa na Wananchi kando kando ya bahari.. Ukija na meli huwezi kushuka, Wanakumaliza. Urusi walijaribu kuingia Odessa kupitia Kherson ila Wameshindwa tangu vita ianze, hakuna hata hatua moja Urusi wamechukua Odessa japo ipo Mpakani. Wananchi wa Odesa wanalinda mji wao wenyewe. Nawawekea picha kidogo hapa. Odessa ndo waliua Wanajeshi 70 wa urusi waliokuwa wanatua kwa miamvuli kutoka kwenye ndege. Odessa hakuna Mwanamume alikimbia Mji, wote wanalinda mji wao. Nchi inawapa mifumo ya kulinda anga. Huku ardhini wamejikamilisha kabisa
View attachment 2387711
View attachment 2387713View attachment 2387714View attachment 2387716View attachment 2387715View attachment 2387731View attachment 2387726View attachment 2387730View attachment 2387729View attachment 2387728View attachment 2387727View attachment 2387725View attachment 2387724View attachment 2387723View attachment 2387722View attachment 2387721View attachment 2387719View attachment 2387718
Daaah slava Ukraine [emoji1255]Warusi kidogo watuulie mwanajeshi. Ila aliwezakuinuka na nguvu mpa
View attachment 2387888
Slava Ukraine [emoji1255]Mykhailo Dianov alikuwa anaipambania Mariupol isiangukue Urusi, ni moja ya Walioachiwa Huru kizuzini. Tangu ashikiliwe na Urusi, hakuwahi kupewa matibabu. Ukisikia Azov ndo hawa. Sasa yupo anajitibia na anaendelea vizuri. Anakuambia akupona Vizuri na kurudi Frontline line. Furaha yake ni kuona Ukraine inajikomboboa toka kwa Urusi. Mkono wake hauna mfupoa wa sm 4
View attachment 2387981View attachment 2387982View attachment 2387983
View attachment 2387984
Siku 4 [emoji15][emoji15][emoji15] hata TZ tu hatuwez anguka in 4 days!!!!Mwezi mrefu sana , NATO wana uwezo wa kumaliza hii vita ndani ya siku nne tu . NATO ni wakubwa sana wakiamua ku wage war na nchi yoyote haichukui round