Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Slava Ukraine [emoji1255]
 
Hivi tumekosa drone msawia ili kuwaadhibu Warusi kwa watufanyiayo? Maana hizi drone za Iran ni hatari kwa sasa zinatumwa nyingi sana na uelekeo ni Kyiv
 
Mmarekani anajua saana kitu kitaalamu tunaitwa CQB yaani Close Quarter Battle za mjini.
Jeshini niliwahi kufanya kozi na WA USA Hawa watu wako mbali saana kwenye Urban combat skills and techniques.
 
Hivi tumekosa drone msawia ili kuwaadhibu Warusi kwa watufanyiayo? Maana hizi drone za Iran ni hatari kwa sasa zinatumwa nyingi sana na uelekeo ni Kyiv
Ukraine anaweza sana kupiga Moscow ila haikuwepo haja sana kufanya hivyo, moyo ulikuwa kwenye kukomboa maeneo.

Ila kama Urusi ataendelea kuranya haya wanayoyafanya, lazima Ukraine itafanya kitu moja mbaya kwa Urusi mpaka watashangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…