Hahahaaa wakakufaJuzi, hii sehemu tu, Wanajeshi wa Urusi waliokufa ni 30. Hawa waliuliwa na Warusi wenzao. Hawa ni mobilized na hapa ni uwanja wa Mazoezi. Kulitokea kutoelewana, wakatwangana risasi. Walitofautiana kidini. Mabishano ya mambo ya Imani
View attachment 2392288
Ujinga huu, walishindwa kujisalimisha?Urusi wanajuta
View attachment 2392374
Jamaa aliamua ku deal nao kweli kweli. 😂😂Urusi wanajuta
View attachment 2392374
Akifanya hivo ndo inamsaidia kushinda vita.? Hiyo inazuiaje mashambulizi na kipigo wanachopewa? Itazuiaje wana jeshi wake kutouawa kwa kiwango kile?Putin katangaza Martial Law
Hilo litakuja tu, ni muda ndo utakaohamua. Wahenga walisema" Siku ya kufa nyani, hata ile miti aloizoea kupanda huteleza" Majigambo,Vitisho vyake na Ubabe hakuna kinachomsaidia askari wake wasiuawe kwa wingi kwa kiwango kile. Huku akiendelea kutapatapa, askari wake na silaha nyingi vinaendelea kutwangwa na kuteketezwa. Inaonekana upo mpasuko mkubwa ndani ya jeshi lake na hata kwenye Utawala wake.Akifanya hivo ndo inamsaidia kushinda vita.? Hiyo inazuiaje mashambulizi na kipigo wanachopewa? Itazuiaje wana jeshi wake kutouawa kwa kiwango kile?
Huenda Putin alishapata ukichaa. Hayuko sawa.
Safari hii kanasa, alishalikoroga lazima alinywe tu. Anga la Ukraine likilindwa vyema na kuthibiti makombora na Drone zake atakuwa hana ujanja tena.
Mhhh! Hapo ndio patamu. Ikishaingia hoja ya Udini basi ujue kila kitu na mikakati ya kivita vitasambaratika. Ogopa sana mambo ya Ki-Imani e.g. hapo 👆 👆 tu inaonekana mizoga 9 ya wanajeshi wa Warusi waliotwangana risasi wenyewe kwa wenyewe kisa ni mabishano ya kiDini.Juzi, hii sehemu tu, Wanajeshi wa Urusi waliokufa ni 30. Hawa waliuliwa na Warusi wenzao. Hawa ni mobilized na hapa ni uwanja wa Mazoezi. Kulitokea kutoelewana, wakatwangana risasi. Walitofautiana kidini. Mabishano ya mambo ya Imani
View attachment 2392288
Ndo maana wanaitwa Magaidi. Mfano wanataka Kubomoa Bwawa la Umeme la Dnipro. Wakati Umeme unaenda hadi Crimea. Ni dalili za kushindwa. Eti wanataka mji wa Kherson ukumbwe na Mafuriko. Raia wengi watakufa kama kingo za Bwawa zitabomolewa. Na haizuii Ukriane kusonga mbele.Baada ya kuona anashindwa zuia offensive ya Ukraine kaamua haribu miundombinu ya umeme
Labda ndiyo maana wanajaribu sana kuhamisha raia ili baadae wabonoe hilo bwawa kukwamisha jitihada za kijeshi.Ndo maana wanaitwa Magaidi. Mfano wanataka Kubomoa Bwawa la Umeme la Dnipro. Wakati Umeme unaenda hadi Crimea. Ni dalili za kushindwa. Eti wanataka mji wa Kherson ukumbwe na Mafuriko. Raia wengi watakufa kama kingo za Bwawa zitabomolewa. Na haizuii Ukriane kusonga mbele.
Ndo maana wanaitwa Magaidi. Mfano wanataka Kubomoa Bwawa la Umeme la Dnipro. Wakati Umeme unaenda hadi Crimea. Ni dalili za kushindwa. Eti wanataka mji wa Kherson ukumbwe na Mafuriko. Raia wengi watakufa kama kingo za Bwawa zitabomolewa. Na haizuii Ukriane kusonga mbele.
Tatizo wanataka kuacha wameharibu miundo mbinuTaarifa kutoka Kherson ni kuwa Jeshi la Urusi linaretreat kwa kasi ya kutisha!
Ukifanya unyambilisi na wewe unafanyiwa unyambilisi. Safi sana. Putin anatakiwa ajue kuwa Ukraine wana uwezo wa kumlaza kifudifudi. Ipo siku wanaume watagusa Moscow.URUSI kimewaka: Kituo cha kusambaza Umeme Belgorod gizani moja kwa moja
View attachment 2392734
View attachment 2392735
View attachment 2392736