Kunguru na funza wa Ukraine wanatamani vita iendelee. Neema imewashukia.Jini Warusi wanavyo rutubisha Ardhi ya Ukriane
View attachment 2392737View attachment 2392738View attachment 2392739
Haina shida wakifurushwa Nao zamu yao ya kuharibiwa miundo mbinu itafuata. Muhimu sasa hivi waondoke kwenye ardhi ya Ukraine.Tatizo wanataka kuacha wameharibu miundo mbinu
Ukraine alitaka kupiga Moscow kama mfano tu, Washirika wake wakamkataza, wakasema asipige nje ya Mipaka. Hiyo Mikoa ambayo inashambuliwa, ninkwa sababu Urusi wanashambulia kutokea hapo. Hivyo zinapigwa Silaha ili zisishambulie Ukriane kama njia ya kujilindaWarusi wanajidanganya kuharibu miundo mbinu ya nishati ya Ukraine, Lakini Ukraine naye ana uwezo wa kupiga na kuharibu miundo mbinu ya nishati ya Urusi katika miji atakayoichagua!
figganigga wanaokimbia na kujikusanya ni warusi?Angalia Urusi wanavyo pelekewa Moto Kherson. Sometimes inabidi tupost tuπ€£π€£π€£
View attachment 2392756
Hapana. Warusi hawapo kwenye picha. Hawa ni Frontline wanajaribu kuwapush Warusi. Hiki ni kikosi kizima cha Ukraine kipo hapo. Wanapokezana.. Wakitoka hawa kushambuliwa wanaingia kundi lingine. Hawezi kaa sehemu mmoja. Hao wote wapo na hilo gari. Hapo wanajikusanya waingia kwenye gari wasepe wengine waingie mzigoni. Kuna risasi kuishi, zikikuishia Frontline ni hatari, huyu anayeshangilia yupo backup.figganigga wanaokimbia na kujikusanya ni warusi?
Rais akishaamua uende vitani unaenda. Hata Vita ya Kagera watu walikuwa mobilized.Mrusi haji kuja kuvamia tena Ukraine atawaheshimu kama anavyowaheshimu Hungary nadhani alivyoichukua Crimea kirahisi alijua na huku ataokota mimi nawaonea huruma wale Voda faster wa Putin wanauawa bure kwa vita ambayo awataki kupigana ila hakuna jinsi ni maamuzi ya Mhuni mmoja...
Taifa kaliingiza kwenye vita na migogoro sababu ya ulevi wa madaraka. Katumia resources nyingi na kupoteza askari wengi for nothing. Ni mwendawazimu tu ndo anaweza kumsifia Putin.Mrusi haji kuja kuvamia tena Ukraine atawaheshimu kama anavyowaheshimu Hungary nadhani alivyoichukua Crimea kirahisi alijua na huku ataokota mimi nawaonea huruma wale Voda faster wa Putin wanauawa bure kwa vita ambayo awataki kupigana ila hakuna jinsi ni maamuzi ya Mhuni mmoja...
Hadi ustaarabu wa Dunia umepotea ni ujinga kusifia vita na utoto na kukosa Elimu bora tumetoka kwenye Corona hiyo mambo ya kijinga asingeileta Dunia ingetengemaa kawapoteza vijana bure naona wakitekwa na kuua huko mbaya sana..Taifa kaliingiza kwenye vita na migogoro sababu ya ulevi wa madaraka. Katumia resources nyingi na kupoteza askari wengi for nothing. Ni mwendawazimu tu ndo anaweza kumsifia Putin.
Kama maigizo vile. Wanaume na korodani zao wamekuwa wapole. Wako tayari kufanywa lolote. ππππ
Russia Hii vita imewavua nguo saana.
Potelea mbali, waondoke tuu; miundombinu itafanyiwa ukarabati au hata kujengwa mpya.Tatizo wanataka kuacha wameharibu miundo mbinu
Kabisa aisee. Hata maviatu(faeces) yao wanayoacha wakati wanakimbia wahakikishe wanaondoka nayo. Kama hawataki; basi wakubaliane na suala la kuirutubisha ardhi ya Ukraine.Haina shida wakifurushwa Nao zamu yao ya kuharibiwa miundo mbinu itafuata. Muhimu sasa hivi waondoke kwenye ardhi ya Ukraine.
Russia hii vita imewaumbua na wamejitia aibu kubwa mno mbele ya mataifa ya dunia. Mrussi hatokaa atambilke na kuheshimika kama na yeye ni miongoni mwa supa pawa. Sasa amebaki ni boya tuu.Russia Hii vita imewavua nguo saana.
Ndiyo. Wameuona moto wa Ukraine si wa kawaida - hawawezi kuumudu.Taarifa kutoka Kherson ni kuwa Jeshi la Urusi linaretreat kwa kasi ya kutisha!