figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #7,901
Oh! Wamesahau kutaja lile la msingi zaidi kwamba wengi wao wanageuzwa kuwa mbolea kwenye ardhi ya Ukraine. Wamshauri au wamshinikize mzee Putin aachane na hiyo vita na awarudishe nyumbani kwao Urussi hao mobilised kabla hawajamalizwa.Wazazi na ndugu huko Urusi wanalalamika kuwa jamaa zao waliokuwa mobilized walioenda huko vitani Ukraine hawana chakula, na mahitaji mengine ya msingi!
View attachment 2400960
Odessa ni sehemu ngumu sana kwa Mrusi kila siku anavamia..Hii sentensi "Anti-Air ya Ujerumani ilivyo zidaka Drones zote za Iran...." imenifurahisha mno mno. Hapo Mrussi atakuna kichwa mpaka chote kiwe ni upara. Alichokuwa akitamba nacho sasa kwishney.
Hongereni Ukraine kwa kazi nzuri iliyotukuka. Mdogo-mdogo zitaisha tu. Ole wao kama wazee wa HIMARS watapata mnuso.Hizi ni Msta-S mbili za Urusi. Urusi inadaiwa kuwa nazo 30. Hapa Urusi imepoteza $7 million. Hiwa Msta ni adimu sana
View attachment 2400966
Na kila siku anakung'utwa kishenzi- malizia hivo. 😂 😂. Good morning sirOdessa ni sehemu ngumu sana kwa Mrusi kila siku anavamia..
Tutaichukua kyiv ndani ya siku tatuTarehe
29/10/2022
Kuna mahali nilisoma wanasema jeshi la Ukraine ni mojawapo ya majeshi yenye wanawake wengi zaidi jeshiniHuyu ni Lyubov(Love) Mkuu wa Vifaru vya Urusi Frontline. Kifaru kikitekwa au kupotea, Taarifa zinafika kwake.
View attachment 2400795
Inaonekana ni mtu makiniMkuu wa Vifaru vya Ukriane, Lieutenant Liubov Plaksiuk kutoka Brigedia ya 44th Separate Artillery. Frontline wanampenda balaa. Hadi wanamuimbia
View attachment 2400802View attachment 2400803View attachment 2400804View attachment 2400805View attachment 2400806View attachment 2400807View attachment 2400808
Nimeona footage hiyo navy drone inashambuliwa na helicopter ila kitu kinaendelea songa mbele...
Puttin alikosea kuonesha kama atatumia mabomu ya Nyukilia. Maana kwa sasa silaha ambayo hajaitumia ni hayo mabomu ya Nyukilia.Nimeona footage hiyo navy drone inashambuliwa na helicopter ila kitu kinaendelea songa mbele...
Nimesoma sehemu meli zilizoharibiwa vibaya ni 3
Na zote zilikuwa za maana kwa Urusi
Akikaa Nao karibu wanaweza kumuwasha makofi kwa maamuzi yake ya kijinga.View attachment 2401213
Madikteta sijui ni kwa nini ni waoga sana. Sasa huyu na wenzake wanajadili kuhusu Vita ya Ukraine. Yeye kajitenga na wenzake mbaali sana na hao wenzake kawawekea walinzi wa kuwalinda.
Anaogopa watamdhuru? Wanaosema huyu Jamaa ni Imara sana kwa kuwa tu anacheza Judo, wanakosea sana. Ndani kabisa Moyoni mwake inaonesha ni mtu muoga sana.