Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Halafu mnatuambia Himars ni old technology kwa Marekani. Hiyo cutting-edge technology yake si ni balaa duniani?
Siyo kwamba ina old technology. It is made of advanced technology. Silaha nyingi huwa zinaboreshwa kulingana na mahitaji. Kutengenezwa 1990 siyo kwamba ina old technology, la hasha.

HIMARS (M142) is a light machine compared to other MLRS. muundo wa chassis yake kuwa ya matairi kinaifanya iwe more mobility na ina speed kubwa ya kukimbia tofauti na MLRS zingine. Faidi nyingine ni kwamba haikosei target.

USA ana machine zingine ambazo ni long range zaidi ya HIMARS na Bora zaidi ya HIMARS. USA na NATO walisoma mchezo wa mrusi wakaona machine inayofaa Ukraine ni HIMARS. Mrusi angekuwa na machine kali zaidi ya HIMARS wangebadirisha dozi.

USA/ NATO na washirika wanapeleka machine ili kukabiliana na current situation. Ndiyo maana walipoona Mrusi ameanza kushambulia miundombinu ya kiraia badala ya military base au military equipment na kuua raia badala ya wanajeshi wakaona ni vyema wapeleke NASAMS na IRIS-T ili kuwadhibiti hao nyang'au. Mwanzo hawakuona sababu ya kupeleka lakini makombora ya masafa marefu ya 300km - 700km ya mrusi wamefanya wabadili msimamo na kukubali kulinda anga la Ukraine lote kwa machine ambazo zinaweza kudaka makombora yote kwa 100% na kujibu mapigo kule makombora yanakotokea.
 
Siyo kwamba ina old technology. It is made of advanced technology. Silaha nyingi huwa zinaboreshwa kulingana na mahitaji. Kutengenezwa 1990 siyo kwamba ina old technology, la hasha.

HIMARS (M142) is a light machine compared to other MLRS. muundo wa chassis yake kuwa ya matairi kinaifanya iwe more mobility na ina speed kubwa ya kukimbia tofauti na MLRS zingine. Faidi nyingine ni kwamba haikosei target.

USA ana machine zingine ambazo ni long range zaidi ya HIMARS na Bora zaidi ya HIMARS. USA na NATO walisoma mchezo wa mrusi wakaona machine inayofaa Ukraine ni HIMARS. Mrusi angekuwa na machine kali zaidi ya HIMARS wangebadirisha dozi.

USA/ NATO na washirika wanapeleka machine ili kukabiliana na current situation. Ndiyo maana walipoona Mrusi ameanza kushambulia miundombinu ya kiraia badala ya military base au military equipment na kuua raia badala ya wanajeshi wakaona ni vyema wapeleke NASAMS na IRIS-T ili kuwadhibiti hao nyang'au. Mwanzo hawakuona sababu ya kupeleka lakini makombora ya masafa marefu ya 300km - 700km ya mrusi wamefanya wabadili msimamo na kukubali kulinda anga la Ukraine lote kwa machine ambazo zinaweza kudaka makombora yote kwa 100% na kujibu mapigo kule makombora yanakotokea.
NATO imepishana na Urusi miaka kama 10 hivi kiteknolojia...hata China huenda kidogo ikafua dafu maana hizo 'copy and paste' za silaha za kimagharibi wanazimudu japo kidogo.
T14 Armata Elungata
 
Sikutegemea kama Warusi wanaogooa Mbu hivi.

Pia Urusi Vita ya Porini hawaitaki wanaogopa, wanataka Mjini ili wabomoe nyumba za watu na Miundombinu kwa kudai adui alikuwa kajificha humo.

Pili wajue Hakuna HIMARS itapelekwa Frontline. Zipo nyuma sana karibia km 100+. Na inapiga kutokea huko huko
Safi mnooo
 
Leo watu wameshangaa kuyaona Magari ya Israel aina ya MRAP GAIA Amir yakiwa Kherson. Israel waliisaidia Ukriane kimya kimya
20221112_013815.jpg
20221112_013818.jpg
 
Back
Top Bottom