figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #8,561
Siyo kwamba ina old technology. It is made of advanced technology. Silaha nyingi huwa zinaboreshwa kulingana na mahitaji. Kutengenezwa 1990 siyo kwamba ina old technology, la hasha.Halafu mnatuambia Himars ni old technology kwa Marekani. Hiyo cutting-edge technology yake si ni balaa duniani?
Ukraine wakifika hapo makaburini wafufue mifupa waisagesage na kuifanya mbolea ya mashambaniLeo Urusi wamefanya mazishi ya halaiki huko Luhansk kwa Wanajeshi wao waliokifa Frontline . Asanteni kwa kutuachia mbolea
View attachment 2413765
AZOV ni Wanaume Ngangari kinoma.Azov ukiwapa kazi wapo Fasta. Washafika Viunga vya Mji Mkuu wa Kherson. Pori kwa Pori🤣🤣🤣
View attachment 2413485
NATO imepishana na Urusi miaka kama 10 hivi kiteknolojia...hata China huenda kidogo ikafua dafu maana hizo 'copy and paste' za silaha za kimagharibi wanazimudu japo kidogo.Siyo kwamba ina old technology. It is made of advanced technology. Silaha nyingi huwa zinaboreshwa kulingana na mahitaji. Kutengenezwa 1990 siyo kwamba ina old technology, la hasha.
HIMARS (M142) is a light machine compared to other MLRS. muundo wa chassis yake kuwa ya matairi kinaifanya iwe more mobility na ina speed kubwa ya kukimbia tofauti na MLRS zingine. Faidi nyingine ni kwamba haikosei target.
USA ana machine zingine ambazo ni long range zaidi ya HIMARS na Bora zaidi ya HIMARS. USA na NATO walisoma mchezo wa mrusi wakaona machine inayofaa Ukraine ni HIMARS. Mrusi angekuwa na machine kali zaidi ya HIMARS wangebadirisha dozi.
USA/ NATO na washirika wanapeleka machine ili kukabiliana na current situation. Ndiyo maana walipoona Mrusi ameanza kushambulia miundombinu ya kiraia badala ya military base au military equipment na kuua raia badala ya wanajeshi wakaona ni vyema wapeleke NASAMS na IRIS-T ili kuwadhibiti hao nyang'au. Mwanzo hawakuona sababu ya kupeleka lakini makombora ya masafa marefu ya 300km - 700km ya mrusi wamefanya wabadili msimamo na kukubali kulinda anga la Ukraine lote kwa machine ambazo zinaweza kudaka makombora yote kwa 100% na kujibu mapigo kule makombora yanakotokea.
Slava UkrainePale Wafuasi wa Ukriane tunaposikia kuna Mamlaka ya Mji imekombolewa tunakuwa hivi[emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2412839
God bless UkraineHaya mabomu yote ya ardhini, yameteguliwa katika barabara moja tu ya Kherson.
View attachment 2412887
Safi mnoooSikutegemea kama Warusi wanaogooa Mbu hivi.
Pia Urusi Vita ya Porini hawaitaki wanaogopa, wanataka Mjini ili wabomoe nyumba za watu na Miundombinu kwa kudai adui alikuwa kajificha humo.
Pili wajue Hakuna HIMARS itapelekwa Frontline. Zipo nyuma sana karibia km 100+. Na inapiga kutokea huko huko
Kiboko ya mrusiHii inaitwa HIMARS. Sasa zimewekwa sehemu nzuri ambayo hata Urusi walipokimbilia inafika
View attachment 2413584View attachment 2413585
Mm pia nawakubali mnooo AzovWanaume wakiwa wanaingia Mjini Kherson. Nawapenda sana Azov. Mbele kwa mbele. Sipati picha siku wakiingia Mariupol kwao. Halafu wameenda na magari madogo tu, sio Vifaru wala nini
View attachment 2413633