Duh! Mrussi kwa woga naye kazidi. Amejisheheni kwa mapiramidi, seng'enge na mazagazaga mengine utadhani ni nungunugnu na miiba yake. Sijui na huko angani ataweka seng'enge na piramidi au.....ππHapa ni Luhansk, Urusi wameweka pyramids za zeke kuzuia Wanajeshi wa Ukraine wasivuke. Sasa watasongaje mbele? Hapa ndo Helkopta zitabeba wanajeshi wa Ukraine na kuwavusha. Urusi watashangaa
View attachment 2474843
Hayo si yanapigwa mabomu tu njia inapatikana!Hapa ni Luhansk, Urusi wameweka pyramids za zeke kuzuia Wanajeshi wa Ukraine wasivuke. Sasa watasongaje mbele? Hapa ndo Helkopta zitabeba wanajeshi wa Ukraine na kuwavusha. Urusi watashangaa
View attachment 2474843
Wanampeleka mdogo-mdogo mwisho wa siku nyani (Mrussi) atatema bungo.Kituo cha mafuta na Gesi huko Kogalym Urusi, kinawaka moto
View attachment 2475007
Amaa Kweli; vita kitu ingine kabisa. "Dude" linakata maji na huku linaachia moto kama nini cjui. π¨ πͺ
Swala la ukombozi wa maeneo yote ya Ukraine halina mjadala mΓ ana hata Putin anajua kuwa atatolewa kwa aibu kubwa.Sehemu zote hizo ni uwanja wa mapambano. Hakuna mtu alojitangazia ushindi. Ninachofurahia ni Urusi wanakufa kama sisimizi.
Ukraine itakombia maeneo yote yalokaliwa na Urusi kimabavu. Quote my words.
Ni swala la muda tu.
Hapo huitaji hata kuwavusha kwa helkopita. Hapo wakishaswagwa mbali na hizo pyramids, zinaletwa Bulldozer zinayasogeza pembeni vifaru vinapita.Hapa ni Luhansk, Urusi wameweka pyramids za zeke kuzuia Wanajeshi wa Ukraine wasivuke. Sasa watasongaje mbele? Hapa ndo Helkopta zitabeba wanajeshi wa Ukraine na kuwavusha. Urusi watashangaa
View attachment 2474843
πππ sijawahi kuona super power muoga kama Russia. Mtu anayejiamini haitaji kuweka midude yote hiyo. Hapo Wagner Group wamepiga pesa ya maana kutoka kwa Putin.Duh! Mrussi kwa woga naye kazidi. Amejisheheni kwa mapiramidi, seng'enge na mazagazaga mengine utadhani ni nungunugnu na miiba yake. Sijui na huko angani ataweka seng'enge na piramidi au.....ππ
Mwaka huu hauishi atakuwa kashatema hilo bungo. ππWanampeleka mdogo-mdogo mwisho wa siku nyani (Mrussi) atatema bungo.
Kifaru kinaruka mitaro kama chui.
Slava Ukraine [emoji1255]Hapa ni Luhansk, Urusi wameweka pyramids za zeke kuzuia Wanajeshi wa Ukraine wasivuke. Sasa watasongaje mbele? Hapa ndo Helkopta zitabeba wanajeshi wa Ukraine na kuwavusha. Urusi watashangaa
View attachment 2474843
Safi sana. ππππHiki kikosi kinaitwa iInternational Legion. Kimewaua Warusi. Warusi na Wapambe wao wa Wagners wamekufa kama Sisimizi.
View attachment 2476062