Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Wakuu, imedaiwa ile picha iliyosambaa juzi Wanajeshi wa Ukraine wakipigwa risasi kwenye handaki, imegundulika hawakuwa Wanajeshi wa Ukraine bali ni Warusi Walivaa sare za Ukraine ili kuwahaadaa Frontline wa Ukraine. Ametafutwa bila mafanikio ndo wakajua wameuana Urusi kwa Urusi.
 

Duh! , Hayo ndo madhara ya kukosa coordination nzuri

Kuna kipindi Warusi wamewahi kujichanganya wakaanza kurushiana risasi wao kwa wao!.
 
Mbwa kala kichwa cha mbwa mwenzake 😂😂😂

Kimsingi wamewawahisha tu wenzao lakini kufia Soledar ilikuwa ni lazima tu wangeuwawa na majeshi ya Ukraine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…