Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Magari aina ya Panthera T6 kutoka🇦🇪 United Arab Emirates yameshafika Frontline na yapo kazini
View attachment 2481103
Duh kama na mwarabu naye yuko upande wa Ukraine basi Mrusi sasa inabidi apigane na dunia nzima kitu ambacho kamwe hataweza. Putin kaipotezea heshima nchi yake kwa kiasi kikubwa mno
 
Duh kama na mwarabu naye yuko upande wa Ukraine basi Mrusi sasa inabidi apigane na dunia nzima kitu ambacho kamwe hataweza. Putin kaipotezea heshima nchi yake kwa kiasi kikubwa mno
Vi nchi vinavyomuunga mkono ambavyo ni makoloni yake havina msaada kwake. Labda Iran na North Korea. Putin safari hii hatoboi na analijua hilo.
 
Hahahaaa.Kosa la kutokuwepo kwa mawasiliano kamili kuhusu pass word. Matokeo yake ndo hivo tena.Wamelimana risasi wenyewe kwa wenyewe. Hongera zenu na Asanteni sana Urussi kwa uzembe wenu huo. Slava Ukraine
 
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Kwanini huwa humiamini kwamba Wanajeshi wa Ukraine wan Morali ya kizi. Hizi picha zote zo Frontline. Hakuna Photoshop hata moja Mkuu. Wala hakuna sababu ya kufamya hivyo.
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Duh kama na mwarabu naye yuko upande wa Ukraine basi Mrusi sasa inabidi apigane na dunia nzima kitu ambacho kamwe hataweza. Putin kaipotezea heshima nchi yake kwa kiasi kikubwa mno
Yeah. Tarehe 29/12/2022 walitoa na Walituletea Panthera T6 idadi ikiwa 12. Tarehe 07 January 2023 mzigo ukafika. Tarehe tarehe 10 yakapelekwa mzigoni na Yanapiga mzigo vizuri tu.
 
Ongeza na challenger 2 tanks za UK.
Ongeza na Leopard 2 tanks kama Germany atakubali.
Mzigo ukifika wote kelele zitaisha, itakuwa ni bandika bandua.
Vifaa bila rasilimali watu ni bure!, wakae mezani vita viishe waihenge nchi yao!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…