Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Vifaa bila rasilimali watu ni bure!, wakae mezani vita viishe waihenge nchi yao!!!
Kwa hiyo Ukraine haina human resources.

Je, hiyo ndo hoja ya Russia kwa kutaka Negotiations na Ukraine au ni maoni yako.
 
Vifaa bila rasilimali watu ni bure!, wakae mezani vita viishe waihenge nchi yao!!!
Sawa mkuu. Sasa kati ya hao wanaopambana, ni yupi ameishiwa rasilimali watu kiasi kwamba inambidi akubali wakae mezani?
 
Jeshi la mtu mmoja. Mwamba figa niga
Ya wapi tena hiyo aisee??? Si tulishakubaliana kwamba hakuna kudharauliana, kejeli au kutoheshimu ya wenzako??. Sasa sijaelewa hiyo komenti yako kama imezingatia hilo.
Acha fitina na uchokozi kama Mrussi na Wagner 😳 .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…