Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hapa ni moja ground kwenye shule bado kwenye madarasa mengine.hapo chini wote ni marehem
 
Yeah sio movie si unaona putin anavyo mbwela kutoka kwenye offensive hadi deffensive sio kitto.
 
Hiki ndio kile kilichoua takribani 600?
Ila kwa sasa tunahitaji kuwapiga pigo lingine hawa warusi pale bakhmut washike adabu.
Ngoja mobilization ya vifaa ikamilike, kuanzia mwezi wa pili utaona move linavyoenda. Coordination contact group inakaa leo huko ujerumani. Itakuja na matokeo mazuri kuhusu mzigo.
 
Huyu alikuwa anapiga picha tu.
Dah! Inawezekana lakini kwenye vita hakunaga mchezo wa kuigiza. Laiti ingewezekana tukuvike kama askari wa Kirussi halafu tukuweke mbele yake umbali e.g. meta 100 halafu tuone kama atashindwa kukupasua.
Kama alikuwa anapiga picha tu, basi hiyo ni njia mojawapo ya kuwapa Hamasa na kuamsha Ari kwa wapiganaji wajukuu zake (Ukraine) wasilaze damu bali waamke na kumnyuka Mrussi kwa hasira zote..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…