Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Siku hizi wamekuja na technic ya kujifanya wamekufa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tuone kama watajilaza Siku nzima.
Yule malaika wa mauti (Ziraeli) hafanyiwi dhihaka hata siku moja. Yule hanaga longolongo.😳
 
Yule malaika wa mauti (Ziraeli) hafanyiwi dhihaka hata siku moja. Yule hanaga longolongo.😳
Wanaishi maisha ya majuto kweli. Wanajua kabisa watarudi wakiwa mizoga au amebahatika sana akiwa kilema. Salama yao ni kujisalimisha tu.
 
Morocco mjanja sana. Yeye mwenyewe aliivamia Sahara Magharibi na kuikalia mpaka leo.
Hapa anatufuta alliance na nchi za west ili wamfumbie machio kimeo chake hicho
Unajua pale Mali kuna wagners wanaoungwa mkono na Urusi. Huwa wanamsumbua sana Morocco ndo anataka wapigwe kwani wakipungua hawataenda Morocco. Kutoka Morocco hadi Mali ni km 1600 tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…