figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #10,581
Unaniangusha mkuu Pz 2000 hizo ni self propelled howitzer siyo Tank hiyo.Trainings zinafanyika. Pia kuna Askari wa Nato wapo Ukraine kuwafundisha Silaha. Ukraine na Poland kila siku ni mafunzo. Achana na huyo anayesema Pz2000 sio vifaru. Hajielewi. Vipo vingi Ukraine. Huyu hajui self propelled howitzers ni nini wala inamanisha nini. Watu wajisomee
Nungunungu wamewahiwa kabla hawajaingia kwenye shimo lao. Very good timing. Big up team jagajagaaa.
Slava Ukraine [emoji1255]Bakhmut leo.. Imetulia na Snipers wamejaa. Mrusi anayejiamini aje.
View attachment 2494014
Slava Ukraine [emoji1255]Shahed Aviation Industries' UAV manufacturing facility. Kimekwenda na maji. Watajuta kushirikiana na Urusi
View attachment 2493967
Slava Ukraine [emoji1255]Jamaa anadai kwenye maisha yake, hskutegemea angeendesha kifaru
Sasa anawabutua Warusi.
View attachment 2494076
Slava Ukraine [emoji1255]Hawa ni Wanajeshi wa anga wahehitimu leo. Humu ndo wapo watu wa kutumia dronea na kuzua Drones za Urusi. Pia wapo walinzi wa anga. Wamekula kiapo kuitumikoa Ukraine. Habari mbaya hii kwa Urusi
View attachment 2494082
Slava Ukraine [emoji1255]Warusi walivyoona kifaru kimeshambuliwa. Ikabidi wakimbie
View attachment 2494349
Slava Ukraine [emoji1255]Haya Magari ya Kimarekani ni kama Drone tu utendaji. Ina Kamera, internet, Mawasiliano, Gprs na taa za kuona adui Usiku bila yeye kukuona. Zinaitwa BATT UMG
View attachment 2494453
Hawawezi kupeleka hivo vifaru bila Germany kuruhusu. Ukifanya hivo spare utatoa wapi. Support ni muhimu sana. Labda wanajaribu kuweka pressure zaidi, lakini Germany kakataa kabisa. Huenda ana sababu za msingi.Baada ya Ujerumani kujivutavuta kuleta vifaru aina ya Leopard, Finland, Norway na Spain wamekubaliana kuleta vifaru vyote walivyo navyo aina ya Leopards
View attachment 2494356
Zile Abrams tanks, kuna ambazo chuma chake ndani kuna depleted Uranium. Ndiyo maana USA naye anajiuliza mara mbilimbili kuvipeleka.Hawawezi kupeleka hivo vifaru bila Germany kuruhusu. Ukifanya hivo spare utatoa wapi. Support ni muhimu sana. Labda wanajaribu kuweka pressure zaidi, lakini Germany kakataa kabisa. Huenda ana sababu za msingi.
Mimi naamini USA Army na NATO wana intelligensia kubwa sana. Hawawezi kufanya jambo kama hilo wasijue madhara yake.Zile Abrams tanks, kuna ambazo chuma chake ndani kuna depleted Uranium. Ndiyo maana USA naye anajiuliza mara mbilimbili kuvipeleka.
Ila zipo version ambazo kazisupply kwa rafiki zake havina depleted Uranium, anaweza kuwashawishi watoe hivyo halafu huko mbeleni atawaresupply.
Pia nimeshangaa kuona mamlaka za kijeshi za USA zinaongea na nchi ambazo zina equipment za kijeshi za Urusi/Soviet union, kama vile Nicaragua, Cuba na venezuela, wampe Ukraine vifaa vyao halafu yeye atawapa vya kimarekani - Hili sidhani kama litafanikiwa maana hawa watu Urusi ni rafiki yao wa wakati wote!
Unaniangusha mkuu Pz 2000 hizo ni self propelled howitzer siyo Tank hiyo.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Ipo hivi, Marekani anataka vifaa vya Kivita vya Urusi/Soviet union viishe, ili silaha za Marekani ndo zianze kutumika. Sababu wakiendelea kuwa navyo wataendelea kumtegemea Mrusi kwa Vipuri, Utaalam na modification. Kitu ambacho kitafanya Urusi aendelee kupata hela. Marekani akianza kusambaza yeye Vifaru vyake, hela za vipuri, Wataalam vitatoka kwake hivyo Viwanda vya Silaha vya Marekani kuzidi kupata fedha na kufanya kazi Usiku na Mchana huku vifaru vya Urusi vikikosa Soko.Zile Abrams tanks, kuna ambazo chuma chake ndani kuna depleted Uranium. Ndiyo maana USA naye anajiuliza mara mbilimbili kuvipeleka.
Ila zipo version ambazo kazisupply kwa rafiki zake havina depleted Uranium, anaweza kuwashawishi watoe hivyo halafu huko mbeleni atawaresupply.
Pia nimeshangaa kuona mamlaka za kijeshi za USA zinaongea na nchi ambazo zina equipment za kijeshi za Urusi/Soviet union, kama vile Nicaragua, Cuba na venezuela, wampe Ukraine vifaa vyao halafu yeye atawapa vya kimarekani - Hili sidhani kama litafanikiwa maana hawa watu Urusi ni rafiki yao wa wakati wote!
Maelezo mubashara yenye Logic.Ipo hivi, Marekani anataka vifaa vya Kivita vya Urusi/Soviet union viishe, ili silaha za Marekani ndo zianze kutumika. Sababu wakiendelea kuwa navyo wataendelea kumtegemea Mrusi kwa Vipuri, Utaalam na modification. Kitu ambacho kitafanya Urusi aendelee kupata hela. Marekani akianza kusambaza yeye Vifaru vyake, hela za vipuri, Wataalam vitatoka kwake hivyo Viwanda vya Silaha vya Marekani kuzidi kupata fedha na kufanya kazi Usiku na Mchana huku vifaru vya Urusi vikikosa Soko.