figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #10,721
Naskina hilo dude kam sniper afu linaona kwenye ukungu na usik kam mchanaNaona Matakwa ya Ukriane yetimizwa. Sasa USA kutoa Abrams M1 MBTs. Urusi wamekwisha
View attachment 2495606
Hii mizoga iliachwa porini mpaka ime decompose. Inarutubisha tu ardhi ya ukraine. Big up ukraineWarusi wanakufa kama sisimizi ndani ya Ukraine
View attachment 2502753View attachment 2502754View attachment 2502755View attachment 2502756View attachment 2502757View attachment 2502758
Walivyominya matako, hapo wanajua wakileta fyoko wanafumuliwa mafuvu πππ.Baada ya Kuona wenzao wanakufa kama sisimizi, ikabidi Hawa wanajeshi wa Urusi wajisalimishe kwa miamba ya Ukraine
View attachment 2502870
Wanabahati sana hao kuangukia mikononi mwa wastaarabu(Ukraine) kwani wale wenzao askari(upande wa Urussi) wanaoongozwa na Wagner; ukijaribu hata kuonesha dalili tu ya kujisalimisha, kurudi nyuma au kusitasita kusonga mbele, askari wenzao wanawakamata mara moja na kuwanyofoa au kukata nyeti zao chap na kuwatelekeza hapo wajifie kwa kihoro. Mrussi-Wagner ni katili sana. No retreat No surrender.Baada ya Kuona wenzao wanakufa kama sisimizi, ikabidi Hawa wanajeshi wa Urusi wajisalimishe kwa miamba ya Ukraine
View attachment 2502870
Hivi hawa ni wanajeshi wa kawaida wa urusi au ni wafungwa?Warusi wanakufa kama sisimizi ndani ya Ukraine
View attachment 2502753View attachment 2502754View attachment 2502755View attachment 2502756View attachment 2502757View attachment 2502758