Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

20230203_185351.jpg
20230203_185339.jpg
20230203_185335.jpg
20230203_185337.jpg
20230203_185332.jpg
20230203_185319.jpg
20230203_185317.jpg
20230203_185314.jpg
20230203_185312.jpg
 
Urusi wamesema wanasitisha Maahambulizi kwenye mji wa Vuhledar Mkoani Donetsk kwa sababu ya hali ya hewa. Ukweli tatizo sio hali ya hewa bali wamepelekewa moto wakapoteza wanajeshi wengi na vifaa vya Jeshi. Kwani hali ya hewa haiwahusu Ukraine? Mbona wamekomaa nayo? Urusi wasitafute visingizio.
20230203_190937.jpg
 
Nchi za wenzetu zimeendelea. Jioni ya leo Nchi nzima inapiga alarm. Inadaiwa kuna mashambulizi wa drone za Urusi zitavamia. So watu wanajificha kwenye mahandaki na Wanajeshi wanawasha mitambo ya kuwinda Drone ambazo sasa zinarushwa Usiku. Tusubiri asubuhi ya kesho kujua madhara na ngapi zimedakwa
20230203_192618.jpg
 
Nchi za wenzetu zimeendelea. Jioni ya leo Nchi nzima inapiga alarm. Inadaiwa kuna mashambulizi wa drone za Urusi zitavamia. So watu wanajificha kwenye mahandaki na Wanajeshi wanawasha mitambo ya kuwinda Drone ambazo sasa zinarushwa Usiku. Tusubiri asubuhi ya kesho kujua madhara na ngapi zimedakwa
View attachment 2505137
Tunamwomba Mungu drone za uvamizi zisilete madhara badala yake ziteketezwe.
 
Back
Top Bottom