Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi
Mrusi kashindwa kabisa kupenya Vuhledar🤣🤣🤣. Vijana wa Ukraine hawalali
KIA moja na mwingine alikimbia..
Njia mbadala ya kuvuka. Bakhmut
LAV ACSV Super Bison kutoka Canada
TOS-1A ya Urusi ilivyoshsmbuliwa na Drone
STUGNA P ni silaha ambayo ukipiga target unaona na ukikosea unaona. Hizi ni anti-tank zinazotengenezwa na Ukraine
Haya Makombora ya Kimarekani yanaitwa The Joint Direct Attack Munition (JDAM). Yakitua ardhini yanakuwa na uzito hadi kg 900. Wiki ya pili sasa yanatumiwa na ndege Frontline Ukriane
Naona ICEYE satellite wameamua kutumia Vita ya Ukriane kama sehemu ya kuboresha mitambo yao. Wameweza kuisaidia Ukriane kubainisha sehemu ambapo Magari ya Adui yalipo na Ukraine inafanikiwa kuyalipua.
Defence Intelligence ya Ukraine imetanabaisha kwamba ndani ya miezi 5, ICEYE imesaidia kufanimisha Target 7321 za maadui
Kati ya hizo Target, waliweza kulipua;
▪️ 45 airplanes;;
▪️ 27 helicopters;
▪️ 6 Iskander air defense systems;
▪️ 36 S-300 AIR DEFENSE SYSTEMS;
▪️ 12 "Pantsir-S1" air defense system;
▪️ 11 RADAR;
▪️ 10 pontoon crossings.
Aliyekuwa Kamanda wa Azov, Maxim Zhorin "Mose" sasa hivi kapewa cheo cha Major. Yupo Frontline Bakhmut. Anasema Warusi wanaovamia Bakhmut hawatakiwi kuonewa huruma hata wakijisalimisha. Sababu Mrusi hafai kuishi Ukriane
Wagners wamekutana na Azov huko Bakhmut. Vidole vinavyo fatulia risasi wananchi wa Ukriane, kiganja kimoja huku kingine kule🤣 Yaani hawa jamaa
Walijua wamezungukwa tayari kumbe ni ng’ombe🤣🤣🤣
FAB-500 bomb la kirusi likitua lina kg 500