figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #11,841
Haya mambo ya Urusi kupewa chakula ndo Azov hawataki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaangalia Drone kwa huruma kweli 😂😂😂
Kafumuliwa kende 😂😂😂
Daaa Kafa kifo kibaya sana huyu mshenzi......upande aliokimbilia ndio moto ulipo
Nungunungu wanachomolewa kwenye mashimo. 😂😂😂
Hawa wanalipwa cash. Wanavuna matunda ya uvamizi na kuua watu wasio na hatia.
Mrusi kashindwa kabisa kupenya Vuhledar[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Vijana wa Ukraine hawalali
View attachment 2542752
Njia mbadala ya kuvuka. Bakhmut
View attachment 2542858