figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #12,121
[emoji2369][emoji2369][emoji2369]Urusi anachapika vibaya, Ukrain ni nchi ndogo sasa kama Urusi hachapiki kwanini Urusi hajamaliza vita muda wote huo?
Umemuuliza swali zuri sana.[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Waliambiwa watapigwa kama ngoma hawakusikia. Sasa wameamini.Mrusi bado unapua? Ndiwoo
View attachment 2554462
Naam! Wanapokea malipo halali kwa kazi ya uvamizi, kuua raia na kuharibu miundo mbinu walioifanya nchini Ukraine.Warusi wanajuta kuja Ukriane. Wanapasuliwa vixhwa tu.
View attachment 2554465
Halafu anakuja jamaa na mapovu yake akidai Bakhmut imetekwa na Wagner/Mrusi.Hivi ndivyo Ukraine wanailinda Bakhmut. Hakuna nzi kukatiza
View attachment 2555336
Naona mambo yanazidi kupamba motoBaraza la Mawaziri la Slovakia, limeruhusu ndege za kivita 13 aina ya MiG-29 zipelekwe Ukraine.
View attachment 2555437
😂😂😂 risasi zimempata kisawasawa. Katoa mlio kama nyau 😂😂😂Msikilize Mrusi mwishoni mwa video anavyolia kama nyau🤣🤣
View attachment 2555322