Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Urusi ilisema itaiteka Kyiv ndani ya Masaa 72. Hivyo wanajeshi wa Ukriane waweke silaha chini Warudi nyumbani. Lakini sasa hata sijua ni masaa mangapi bado wanapambana kwenye mikoa ya Mpakani. Nini kimewasibu? Mikoa inayopakana na Urusi ndo Vita ipo, mbona hawaji katikati ya Nchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…