figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #12,761
𝐇𝐮𝐮 𝐦𝐰𝐞𝐳𝐢 𝐰𝐚 𝐧𝐠𝐚𝐩𝐢 ?AZOV wametuma picha wakiwa katika ya Bakhmut. Tangu mwezi wa nane 2022, wafanya propaganda wa Urusi wamekuwa akisema bado km 2 kuizunguka Bakhmut.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2571561
Malengo yao mbona yametimia mauripol iko chini ya urusi soleder iko chini ya urusi AZOM ndani ya bakhmuti iko chini ya urusi na mpaka sasa bado wako ndani ya ukraineUrusi ilisema itaiteka Kyiv ndani ya Masaa 72. Hivyo wanajeshi wa Ukriane waweke silaha chini Warudi nyumbani. Lakini sasa hata sijua ni masaa mangapi bado wanapambana kwenye mikoa ya Mpakani. Nini kimewasibu? Mikoa inayopakana na Urusi ndo Vita ipo, mbona hawaji katikati ya Nchi?
View attachment 2571562
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani kanichosha sana!! Huwa hata hasikii Askari wakisema "Tunakwenda Range"" yenye hudhani wanakwenda kujaza mafuta??
JKT irudi tu mkuu, vijana wote wapitie mafunzo.Yaani kanichosha sana!! Huwa hata hasikii Askari wakisema "Tunakwenda Range"" yenye hudhani wanakwenda kujaza mafuta??
Yaani iwe lazima kwa vijana wote itasaidia kuondoa changamoto ndogo ndogo kama hizi.Yaani kanichosha sana!! Huwa hata hasikii Askari wakisema "Tunakwenda Range"" yenye hudhani wanakwenda kujaza mafuta??
Source: 𝑻𝒆𝒄𝒉𝒏𝒐𝒍𝒐𝒈𝒚 𝒂𝒏𝒅 𝒐𝒓𝒊𝒈𝒊𝒏𝒂𝒍 𝒏𝒆𝒘𝒔Yaani iwe lazima kwa vijana wote itasaidia kuondoa changamoto ndogo ndogo kama hizi.
Hii ni speed. Sasa vipi urushaji wa bomu kinapiga km ngapi au umbali gani mkuu?Source: 𝑻𝒆𝒄𝒉𝒏𝒐𝒍𝒐𝒈𝒚 𝒂𝒏𝒅 𝒐𝒓𝒊𝒈𝒊𝒏𝒂𝒍 𝒏𝒆𝒘𝒔
Leopard 2 main battle tank: The engine and navigation
The tank uses a 1,500 HP / 1,100 kW engine. The top speed is slightly lower and caps at 63 kilometers per hour, while the 𝐝𝐫𝐢𝐯𝐢𝐧𝐠 𝐑𝐀𝐍𝐆𝐄 𝐢𝐬 450-500 km (280-310 miles) on a good road, or about 220 km (140 miles) in off-road conditions.
VizuriHii ni speed. Sasa vipi urushaji wa bomu kinapiga km ngapi au umbali gani mkuu?
Ukiiweka kwa km maana yake ni km 5.Vizuri
The main gun is fully stabilized. It is compatible with a range of different rounds, including German DM43 APFSDS-T anti-tank projectiles, DM12 High-explosive anti-tank (HEAT) projectiles, and a new-generation DM-53 projectiles designed to take advantage of a longer barrel of the L/55 gun to achieve effective firing 𝐑𝐀𝐍𝐆𝐄 𝐀𝐓 𝐀 𝐃𝐈𝐒𝐓𝐀𝐍𝐂𝐄 𝐎𝐅 𝐔𝐏 𝐓𝐎 5,000 𝐌𝐄𝐓𝐄𝐑𝐒 and the muzzle velocities of over 1,750 m/s.
Source 𝐭𝐞𝐜𝐡𝐧𝐨𝐥𝐨𝐠𝐲 𝐚𝐧𝐝 𝐨𝐫𝐢𝐠𝐢𝐧𝐚𝐥
[emoji123][emoji123] Pamoja chiefUkiiweka kwa km maana yake ni km 5.
Naziona ndogo ,ngoja tuendelee kufuatilia ili tujiridhishe zaidi.
Ila yote kwa yote ahsante.
Neno la siku .....big upKama kuimarisha uchumi ni suala la maamuzi,kila mmoja angeweza kuimarisha uchumi wake.ili kwa mpalange pafanane na masaki,ila nijuavyo mimi si rahisi kihivyo