Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Nahisi Bakhmut inaweza ikawa ngumu kwa Mrusi sababu, Boss wa Wagners alipsema anaondoka Bakhmut wasipompa Silaha, ni kweli hajapewa.

Sasa nineona boss wa Chechen Ramzan Kadyrov, akiagiza majeshi yake yaende Bakhmut kama Wagners wataretreat. Natamani wauane wao kwa wao

Wagners wamepigana Bakhmut miezi 10,watakubali kumuachia Chechen ndo abebe sifa?

Wagners silaha zimewaishia.

Ukraine wanajeshi wachache, akifa mmoja ni pengo kubwa. Urusi hata wafe 50 hawajali

Wagners wakipewa silaha zinalipuliwa kitu ambacho k8nafanya Urusi ione ni Uzembe na hawana Uchungu na Vifaru vya Urusi ndo maana kapunguza supply kwao
 
Urusi wamepanic. Wameanza kuikimbia Melitopol hata majeshi ya Ukraine hayajafika🤣🤣. Angalia foleni watu wanavyoukimbia mji
Your browser is not able to display this video.
 
Wale Wavamizi walioingia kuua kizazi cha Ukraine na kuharibu miundombinu wamedakwa
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Kikosi cha 47th mechanized brigade kimeamua kutumia hii alama kama alama yao mpya ya Utambuzi
 
Hawa ndo kikosi cha 47th mechanized brigade. Pamoja na mambo mengine, wanasifika kwa kujua kuficha zana za vita. Hadi ulipue kifaru chao kazi ipo. Hawa wanajipaka tope masizi na rangi zinazoendana na mazingira ila wasionekane. Wenyewe kitaalamu wanaita Camouflage. Unaweza ona kichuguu kumbe mtu. Au kifaru
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…