figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #13,941
Wakuu, Majeshi ya Ukriane yanafanya vizuri sana Mkoani Zaporizhzhia. Yameweza kusonga mbele sehemu kibao kama Shirokaya Balka, Malaya Tokmachka, Novopokrovka nk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni "Nanga"Hivi hawa Warusi hawapigishwi hata kwata?
View attachment 2687204
Safi sana. Mungu ibariki Ukraine na majeshi yake yaliyo mstari wa mbele.Amina.Wakuu, Majeshi ya Ukriane yanafanya vizuri sana Mkoani Zaporizhzhia. Yameweza kusonga mbele sehemu kibao kama Shirokaya Balka, Malaya Tokmachka, Novopokrovka nk
View attachment 2687225
Unafiki mtupu. Misiba ya kujitakia. Badala ya kurudi kwao wakiwa wanatembea, sasa eti wanarudi wakiwa kwenye mifuko ya plastic(Rambo).Urusi Misiba ya Makamanda wao haiishi
View attachment 2687227
Bakhmut inarudi Mikononi mwa Ukriane wiki si nyingi. Hapa Warusi wameikimbia moja ya kambi yao huko Bakhmut. Wamepelekewa moto, baada ya kuona wanakufa kama sisimizi ikabidi watimue. Wameshikilia hii sehemu zaidi ya miezi miwili. Angalia Warusi walivyo kufa
View attachment 2682510
Sasa hivi Ukriane wanaadvance huko Bakhmut. Warusi wanaacha miili ya Wanajeshi wao nyuma. Hawajulishi ndugu wa marehemu wala nini. So wanajeshi wa Ukriane wakikuta namba ya ndugu huwa wanawapa taarifa ya ndugu yao kufa. Mmoja ni hiyu aliandika namba ya mama yake kwenye karatasi na wamepigia wakamwambia mtoto wao anavyo rutubisha ardhi ya Ukraine
View attachment 2682508
Urusi wanajuta
View attachment 2682514
Hapa ni Pyatykhatky huko Zaporizhzhia, Urusi wameikimbia Kambi yao. Hawa Wanajeshi wa Ukraine walioyoka kwenye mafunzo ni moto sana. Warusi wamekimbia wakaacha mzigo kama wote
View attachment 2682541
Wanajeshi watatu wa Ukriane wanachakaza kikosi kizima cha Urusi.
View attachment 2685087
Leopard 2A6 ikiwapelelea moto Warusi
View attachment 2686369