figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #14,241
Kha! Aisee; Silaha hizo ni "Manual" kweli kweli. Yan hata JKT hapa Tz hawatumii hizo kwa mafunzo tena.😱Wanajeshi wa Ukraine wakishangaa silaha wanazotumia wanajeshi wa Urusi huko Frontline
View attachment 2793154
Safi sana. Slava Ukraine. Hizo kitu ndo Nawapendeaga Ukraine. Hakunaga cha mswalie mtume.😳Vijana wa Moscow hawaamini wanachokiona Frontline. Hadi wanatembelea. Hapo walizidiwa wakataka kukimbia.. Wakapelekewa moto
View attachment 2793081