Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Poland imetoa msaada wa Vifaru 100 aina T-72 na Magari ya mizigo.

Mizinga 20 aina ya 122mm 2S1 self-propelled howitzers SPG. Magari ya Mizinga 20 aina ya BM-21 Grad MLRS.
20220415_203343.jpg
20220415_203341.png
20220415_203326.jpg
20220415_203329.jpg
 
Kifaru cha Urusi aina ya UR-77 kimesahau mnyororo wake🤣🤣🤣 tulikikamata. Wanajeshi waliokuwa ndani, wamekufa bahati mbaya
 
Kifaru cha Urusi aina ya BMP-2 IFV kilitekwa wakati kifaru cha Urusi aina ya , BTR-82A kiliharibiwa
20220415_210516.jpg
20220415_210513.jpg
20220415_210511.jpg
20220415_210508.jpg
 
Kifaru cha Urusi aina ya R-166-0.5 kimekamatwa
 
Siku ya uvamizi kwa ile misafara ya kijeshi ya Russia nilijua comedian ange surrender au wangechukua siku chache kuifanya Ukraine yote Kama Crimea. Ila wanachokutana nacho hata psycho Putin haamini na hata pro Russians wa JF wamebaki kutoa povu tu walidhani Russia hatapoteza hata kifaru kimoja. Russia hata Kama atashinda hii vita Russia kwangu mimi hizo silaha za nyuklia anazomiliki ndio zitaendelea kufanya aitwe super power lakini ni super power wa mabua
 
Siku ya uvamizi kwa ile misafara ya kijeshi ya Russia nilijua comedian ange surrender au wangechukua siku chache kuifanya Ukraine yote Kama Crimea. Ila wanachokutana nacho hata psycho Putin haamini na hata pro Russians wa JF wamebaki kutoa povu tu walidhani Russia hatapoteza hata kifaru kimoja. Russia hata Kama atashinda hii vita Russia kwangu mimi hizo silaha za nyuklia anazomiliki ndio zitaendelea kufanya aitwe super power lakini ni super power wa mabua
Russia ana uwezo wa kuwapiga Ukraine lakini hana uwezo wa kuwashinda. Ujeruma nimeona imetuma Vifaa vya kijeshi. Kuna nini tena? Ukraine wanapigana kwa Maarifa ili Wasiue wananchi wake, lakini Russia Wanapiga bila kujali watoto na wanawake. Wanachotaka raia wa Ukraine afe. Wana roho mbaya sana. Tutapambana nao

Nyuklia hawezi kutumia. Sababu atapiga Nyukilia, na Sisi tunapiga. Urusi hana ulinzi wowote. Ndege za Ukraine zinaingia Urusi, zinashambulia na kurudi, Magari yanaenda yanabeba mafuta na kurudi. Vita sasa hivi ni Sayansi.
 
Urusi tukiwapiga, wanapanda magari ya V8 wanakimbia, leo wamekimbia na kuacha hii grad MLRS, ikiwa fully loaded. Hili gari linaitwa truck-mounted multiple launch rocket system (MLRS)
20220416_195138.jpg
 
Back
Top Bottom