figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #3,841
IZyum: Wavamizi tumefanikiwa kuwafukuza na wakakimbia speed katika miji ya Dovhen'ke na Dolyna. Ukiona hivi ujue Urusi wameanza kuzidiwa.. Halafu jana Warusi wamekufa wengi. Natamani Ukraine ingeteka Izyum kwanza, kazi ingekuwa rais. Izyum Urusi wanaithamini kama kisiwa cha Snake. Ukraine wafanye jambo hapa