Daraja la Antonovskiy limeshambuliwa leo Usiku huko Kherson. Hili Daraja linaunganisha Kherson na Crimea ambayo ipo chini ya Urusi tangu 2014.
Inaonekana air defence systems zimeshindwa kudaka hata missile moja iliyokuwa inaelekea darajani. Ukriane wakifanikiwa kuliharibu hili daraja, inamaanisha Njia ya Kuretreat kwa Urusi itakuwa haipo, itabidi wajisalimishe. Pia hakutakuwa tena na Ugavi wa Silaha, chakula na risasi.
Wakijaribu kutengeneza daraja la makeshift, watapata maafa makubwa kwani Jeshi la Ukriane lishajua ndo kitu pekee chaweza fanyika
Wanajeshi wa Urusi waliopo Kherson wanauoga, hawajui waende wapi.
Maana yake hii ni sawa na kuzungukwa.. Mbele huendi, nyuma huendi. Kumbuka HIMARS imeshaharibu Maghala yote ya Sikaha za Urusi ya Kherson. Huu Mkoa kazi imeisha.. Twende zetu Donetsk kisha tumalize na Luhansk. Ukraine itakuwa imemaliza Vita.
View attachment 2305276View attachment 2305277View attachment 2305278View attachment 2305279View attachment 2305280View attachment 2305281View attachment 2305282View attachment 2305283