Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

HIMARS nyingine hizi hapa, zinakaribia kufika Ukraine. Zinakija zikiwa loaded. Zinakimbia kama vieite tu[emoji1787][emoji1787]

Kumbuka hayo magari madogo yana Wanajeshi wanaozilinda zisitekwe.. Battalion nzima ipo hapo. Waandishi, Madaktari, Manesi, nk.. Kwamba zilikuja na Ukinzi pia wa Snipers 12.

Hayo magari madogo yalowasha taa, yote yanalinda HIMARS zisiangukie mikononi mwa adui. Zoom kuona picha vizuri
View attachment 2305352
Daaah America nikonyo zinalindwa kuliko rais w Africa.
 
Kamanda wa Urusi wa battalion ya 35th motorized infantry brigade katika mjini wa Oleysk(Olevs'k), Major Leonid Shchetkin, tumemdaka. Yupo Korokoroni, wangekuwa Azov washaua. Huyu ndo boss wa Vifaru vyote Mkoani Zhytomyr. Urusi watajua hawajui

Kabla ya kudakwa walokufa hawajesabiki.. Ilichukua masaa 4
630_360_1645923554-124.jpg
20220727_232143.jpg
20220727_232138.jpg
 
Daraja la Antonovskiy limeshambuliwa leo Usiku huko Kherson. Hili Daraja linaunganisha Kherson na Crimea ambayo ipo chini ya Urusi tangu 2014.

Inaonekana air defence systems zimeshindwa kudaka hata missile moja iliyokuwa inaelekea darajani. Ukriane wakifanikiwa kuliharibu hili daraja, inamaanisha Njia ya Kuretreat kwa Urusi itakuwa haipo, itabidi wajisalimishe. Pia hakutakuwa tena na Ugavi wa Silaha, chakula na risasi.

Wakijaribu kutengeneza daraja la makeshift, watapata maafa makubwa kwani Jeshi la Ukriane lishajua ndo kitu pekee chaweza fanyika

Wanajeshi wa Urusi waliopo Kherson wanauoga, hawajui waende wapi.

Maana yake hii ni sawa na kuzungukwa.. Mbele huendi, nyuma huendi. Kumbuka HIMARS imeshaharibu Maghala yote ya Sikaha za Urusi ya Kherson. Huu Mkoa kazi imeisha.. Twende zetu Donetsk kisha tumalize na Luhansk. Ukraine itakuwa imemaliza Vita.
View attachment 2305276View attachment 2305277View attachment 2305278View attachment 2305279View attachment 2305280View attachment 2305281View attachment 2305282View attachment 2305283
EeeEE wae! Hakika hapo sasa Mrusi atakunywa maji kwa karai.
 
Urusi yatungua helicopter yake ya kivita, baada ya helicopter hiyo kushambulia kambi za Urusi kimakosa huko Kherson
Nadhani hajashambulia kimakosa. Ameona aendako (Ukraine) ngoma nzito, ni kheri atokako(Urusi) kwa hiyo akageuza kibao na ili asife peke yake akajitafutia wa kuondoka naye hususan awe ni Mrusi mwenzake.
 
Back
Top Bottom