OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,896
Sasa inakuwaje Mbabe anakodi tena vikundi vya kigaidi vimsaidie mapambano? Majeshi/Askari aliyofundisha yeye kama Mrusi aliwapa mbinu outdated. Hao Wagner group ni wasakatonge. Wakipata greener pastures watahama au watamgeukia. Mrusi amesahau tena kale kamsemo ka vijana "Hapendwi mtu ila Pochi"Ndiyo maana anahaha. Wanajeshi wengi waliopukutishwa ni wale wa jeshi la Urusi. Maana walienda wameongozana kama wanaenda kwenye harusi. Hawana uzoefu na skills za kupigana.
Brigedia zinazoongozwa na Wagner group na zile za separatist ndo zinazoleta defense kubwa. Sema tu hawana silaha za kisasa. Ni kweli wamepunguzwa nguvu lakini jamaa wamekomaa maana ndo maisha yao na ndo wanavyoendesha maisha yao.