Mkuu, huyo inapiga target 5km. Hiyo ngoma pia ni ant-tank.Nimeona sehemu inapiga km 4
Afu mguso wake ni sawa na Tani 2 za uzito
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, huyo inapiga target 5km. Hiyo ngoma pia ni ant-tank.Nimeona sehemu inapiga km 4
Afu mguso wake ni sawa na Tani 2 za uzito
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wana upendo wa agape. Mungu awabariki sana.
Salamu nzuri sana kwa mobilised. 😂😂Ujumbe kwa Urusi
View attachment 2374960
Very Good. Mbolea safi kabisa. Nimemhurumia huyo mrembo.
Huyo aliyeponea chupuchupu, atapeleka salamu. Katoka nduki kama swala 😂😂😂😂
Well done ukrainian troops. Very good 👌.
Kherson mambo bado magumu sana. Washenzi wamekaza fuvu. Kuna maeneo tulikuwa tumeyachukua wametunyang'anya tena. Drones za Iran zinasumbua kule. Labda mpaka dawa ya Drones ipelekwe huko. Kiufupi kwa Kherson sehemu kubwa hatuja advance karibia wiki ya 4 sasa.Nasikia wanaume wameanza kukomboa vijiji vya Kherson
Kherson kimewaka warusi hoiKherson mambo bado magumu sana. Washenzi wamekaza fuvu. Kuna maeneo tulikuwa tumeyachukua wametunyang'anya tena. Drones za Iran zinasumbua kule. Labda mpaka dawa ya Drones ipelekwe huko. Kiufupi kwa Kherson sehemu kubwa hatuja advance karibia wiki ya 4 sasa.
Priority kwa sasa ni Donbas.
Kherson na Donesk watu washasogea 50km deep...Nasikia wanaume wameanza kukomboa vijiji vya Kherson
Wamejibiwa hakuna aircover sababu ni giza na mvuaMambo magumu huko kherson warusi maji waita mmaaa
Chanzo cha habari yako ni kipi?Kherson mambo bado magumu sana. Washenzi wamekaza fuvu. Kuna maeneo tulikuwa tumeyachukua wametunyang'anya tena. Drones za Iran zinasumbua kule. Labda mpaka dawa ya Drones ipelekwe huko. Kiufupi kwa Kherson sehemu kubwa hatuja advance karibia wiki ya 4 sasa.
Priority kwa sasa ni Donbas.
Jana, Kuna sehemu moja huko Kherson forces za Ukraine zilikuwa zimekusanya vifaru kwa ajili ya kupiga counter offensive, ile formation ikaonwa na reconnainsance aircraft moja ya warusi ikatuma coordinates, vimelipuliwa vifaru vingi sana vya Ukraine. Sijapata taarifa kuhusu hali ya kivitw huko Kherson kwa siku ya leo,Sijui kama Waukraine walikaza au walirudishwa nyuma ngoja nichekiKherson mambo bado magumu sana. Washenzi wamekaza fuvu. Kuna maeneo tulikuwa tumeyachukua wametunyang'anya tena. Drones za Iran zinasumbua kule. Labda mpaka dawa ya Drones ipelekwe huko. Kiufupi kwa Kherson sehemu kubwa hatuja advance karibia wiki ya 4 sasa.
Priority kwa sasa ni Donbas.
Mkuu; Umesema vimelipuliwa vifaru vingi sana - ungetoa walau makadirio kwani hata vile vya Urussi kwenye ule mlolongo wa 64 km yalitolewa makadirio kabla ya exact figure. Ninavyoifahamu Ukraine haiwezi kuwa na mavifaru meeengi kiasi kwamba inashindikana kuvihesabu. Hebu cheki pia chanzo cha Taarifa yako vizuri.Jana, Kuna sehemu moja huko Kherson forces za Ukraine zilikuwa zimekusanya vifaru kwa ajili ya kupiga counter offensive, ile formation ikaonwa na reconnainsance aircraft moja ya warusi ikatuma coordinates, vimelipuliwa vifaru vingi sana vya Ukraine. Sijapata taarifa kuhusu hali ya kivitw huko Kherson kwa siku ya leo,Sijui kama Waukraine walikaza au walirudishwa nyuma ngoja nicheki
Hizo ndo akili mbovu za majeshi ya Mrussi. Yaani unafahamu kabisa kwamba hapo umeshataitiwa ndi! na kilichobaki tu sasa ni kukubaliana na matokeo lakini eti unajitutumua kurusha risasi. Ona sasa imekula kwao. 😂 😂Hawa ni LEGION. Urusi walijifanya kujibu mashambulizi, ikabidi wawazunguke na kuwateketeza wote. Nia ilikuwa wajisalimishe, wao wakarusha risasi
View attachment 2375462
Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa. Eti vifaa vya Ukraine havina uwezo wa kuwaona. O.K. sasa wamejua ukweli ni kwamba Vifaa vya Ukraine vina uwezo wa: (1)kuwaona, (2)kuwadhibiti wasitoroke na (3)kuwaangamiza /Kuwateketeza moja kwa moja.Tunawaambia jisalimishe, wanajidai kutoroka. Madhara yake ndo haya. Wanadanganyana kwamba vifaa vya Ukraine haviba uwezo wa kuwaona
View attachment 2375420