Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Puttin alikosea kuonesha kama atatumia mabomu ya Nyukilia. Maana kwa sasa silaha ambayo hajaitumia ni hayo mabomu ya Nyukilia.

Na imethibitika kuwa kiteknolojia ya kivita, kumbe warusi wako nyuma sana. Wenzao wamewekeza kwenye ufanisi wa silaha wao wamewekeza kwenye ukubwa wa Silaha. Anapigwa balaa.
Putin alikuwa anapewa ripoti ya silaha walizonazo zilivyo nyingi basi anaona Urusi iko vizuri. Masilaha mengi wamepitwa na wakati. Aliona namna ya kuya dispose ni kuivamia Ukraine akiamini kuwa wanamwogopa sababu walimwachia Crimea.

Safari hii kanasa mtego wa wajanja. Busha safari hii lazima lipasuliwe apende asipende.
 
Angalia hii Drone ya majini ilivyokwepa Risasi za ndege na Boti za Urusi hadi ikafika target yake ilipo. Nadhani haya ni matokeo ya Wahitimu wetu wa Jeshi la Maji huko Uingereza. Hapa ni bandari ya Sevastopol na hizi meli zote za Urusi
 
Hawa mobilized wanawaonea.. Wameambiwa waende Frontline wengine hawana bunduki wala vifaa vya jeshi na bado wanashangilia. Hivi wanajua muziki wa Frontline ya Ukraine? Ngoja tuone
View attachment 2401297
Mbolea hiyo. Mwaka huu hakuna kununua mbolea, samadi inatosha sana. Kherson matikiti yatakuwa makubwa sana.
 
Puttin alikosea kuonesha kama atatumia mabomu ya Nyukilia. Maana kwa sasa silaha ambayo hajaitumia ni hayo mabomu ya Nyukilia.

Na imethibitika kuwa kiteknolojia ya kivita, kumbe warusi wako nyuma sana. Wenzao wamewekeza kwenye ufanisi wa silaha wao wamewekeza kwenye ukubwa wa Silaha. Anapigwa balaa.
Jamani! Huyo mzee Putin hajakosea. Ujue Ubongo au Akili ikifikia ukomo wa kufikiri huwa tunaandikaga End of Thinking Capacity kwa kifupi e.t.c. Mzee Putin kwa akili alizokuwa nazo alifikia hapo na hakuona kitu kingine zaidi ya kuonesha atatumia mabomu ya Nuklia. Hakuweza kufikiri zaidi tena. Akili ilikuwa "kalas".
 
Stay safe ❤️🇺🇦
20221029_204842.jpg
 
Huyu ndege kawaganda Frontline wa Ukriane kila wanapoenda kisa tu wamempa maji🤣🤣. Wanyama tuwatendee mema,
View attachment 2401291
Kumbuka Maji ni uhai. Ndege huyo kapewa maji i.e. Kapewa uhai.Ni Ishara nzuri ; ni ishara ya uhai kwa Ukraine katika vita hii. Ni ishara ya USHINDI wa kishindo kwa Ukraine.
 
Drone zilivyotinga bandarini kulipua meli za Urusi

View attachment 2401301
Yes! Hayo ni mashambulizi ya busara na akili. Sio kupiga makombora maeneo ya makazi ya watu wasio askari unaua raia wasio na hatia, unakwepa na unaogopa kuingia ulingoni ukapambane na vijana machachari wa Frontline ya Ukraine wakuoneshe kilichomnyoa kanga manyoya
 
Wale Machen(Tiktokers) wamepelekewa moto na Ukraine. Wanadai wengi wamejeruhiwa ila hawana wasiwasi. Wapo imara eti hata majeraha hayaumi. Angalia😂😂😂
View attachment 2401293
Huyo jamaa eti hasikii maumivu na damu zimejaa usoni. - hilo si ni wenge la risasi? Akitulia (akiwa hai) atayasikia maumivu, la akiwa mzoga ni kweli hatayasikia maumivu itakuwa ni poa tu - Ni mbolea tayari.
 
Huyo jamaa eti hasikii maumivu na damu zimejaa usoni. - hilo si ni wenge la risasi? Akitulia (akiwa hai) atayasikia maumivu, la akiwa mzoga ni kweli hatayasikia maumivu itakuwa ni poa tu - Ni mbolea tayari.
Akikosa huduma ya kwanza; anatangulia mbele za haki
 
Hawa mobilized wanawaonea.. Wameambiwa waende Frontline wengine hawana bunduki wala vifaa vya jeshi na bado wanashangilia. Hivi wanajua muziki wa Frontline ya Ukraine? Ngoja tuone
View attachment 2401297
Hivi wanajua muziki wa Frontline ya Ukraine? Hilo inaonekana wamefichwa- hawakuambiwa watajua huko mbele. Wanatembea na kuimba wanadhani wanaenda jandoni. Ngoja wafike huko mbele waendako ndipo watajua walikuwa hawajui. 😂 😂
 
Back
Top Bottom