Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
Kwa ndege za kivita sio mbali.Mbona pwani ya Croatia ni mbali sana na Russia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ndege za kivita sio mbali.Mbona pwani ya Croatia ni mbali sana na Russia.
Inaonekana pande zote mbili huko wana malaki kwa malaki ya askari manake tangu tuambiwe maelfu kwa maelfu ya askari wanakufa kila siku ni mda mrefu sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Inasemekana kwamba Askari wa Urusi huko Luhansk, katika axis ya Svatove-Kreminna, wamepewa order wafanye wawezavyo kuikamata tena barabara ya P66. Order waliyopewa ni kuwa bila kujali idadi ya askari watakaokufa, hiyo barabara lazima ikombolewe. Waukraine wanasema kuwa Urusi imekuwa ikituma wimbi baada ya wimbi katika uelekeo huo na imekuwa ikiwaua mamia kwa mia kupitia mizinga.
Inaelekea Urusi inaona kuwa kama hiyo barabara isipokombooewa basi Supply ya vifaa kwenda kusini itakuwa ngumu sana!
Ripoti za kiintelijensia zinasema kuwa wamepeleka wanajeshi wengi, lakini haijaleta impact kwenye battlefield. Sababu zinazotolewa ni mbiliInasemekana kwamba Askari wa Urusi huko Luhansk, katika axis ya Svatove-Kreminna, wamepewa order wafanye wawezavyo kuikamata tena barabara ya P66. Order waliyopewa ni kuwa bila kujali idadi ya askari watakaokufa, hiyo barabara lazima ikombolewe. Waukraine wanasema kuwa Urusi imekuwa ikituma wimbi baada ya wimbi katika uelekeo huo na imekuwa ikiwaua mamia kwa mia kupitia mizinga.
Inaelekea Urusi inaona kuwa kama hiyo barabara isipokombooewa basi Supply ya vifaa kwenda kusini itakuwa ngumu sana!
Casualties are another factor. Both Russia and Ukraine have suffered tens of thousands of dead and wounded. Precise figures are not available. Neither side wants to admit the damage caused by the other.Inaonekana pande zote mbili huko wana malaki kwa malaki ya askari manake tangu tuambiwe maelfu kwa maelfu ya askari wanakufa kila siku ni mda mrefu sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huo sio mlundikano bali ni kifusi.
Utadhani kasa wamekusanywa na kokolo 😂😂😂😂Huo sio mlundikano bali ni kifusi.
Back to sender - amekufa Mrussi.Naenda kuwaua Ukraine.🤣
View attachment 2407217
Kwa mwenendo wa vita ulivyo mpaka sasa, iwe jua au mvua Ukraine atashinda hii vita. Sababu kuu ni nne tuHii vita Mrussi alichemka kimahesabu. Haitamwacha salama.