Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

figganigga

Naomba umeseme neno hapa
Kunae taarifa kuwa HIMARS imepita na barracks za Wagner na kula vichwa zaidi ya 300 huko Melitopol

Hii taarifa ni kweli?

Himars targeted and hit a Wagner' PMC barrack's hotel complex in #Melitopol only 3 badly wounded and rest 300+ eliminated instantly[emoji88][emoji879]





View attachment 2442746

---
Melitopol
Crimea
Kote kimewaka
CNN: Ukraine launches missile attack on Russian-occupied Melitopol, explosions reported in Donetsk and Crimea | CNN

Ni kweli. Kambi ya Wagner. Kuna maiti zimeokotwa zikiwa na ubwabwa mdomoni 😂😂😂😂. Jamaa walikuwa wanapata msosi, HIMARS ikawagongea hodi.
 
Wagner wanaing'ang'ania Bakhmut utadhani kuna kitu walisahau. Wako tayari kufia Bakhmut. Kuna maeneo wameyachukua tena kama Ozarianivka, Zelenopillya, Kurdyumvika, na Ivahrad.
Huo mji wagner wameung'ang'ania sana. Mapambano yamedumu muda mrefu sana hapo hawatoki
 
Huenda labda mji huu una madini, si bure. Maana wanauawa kweli lakini hawakomi ndo wanazidisha mashambulizi..
Hey! Inaonekana hawajampatia kisawasawa saizi yake. We subiri tu, watakoma.
 
Ni kweli. Kambi ya Wagner. Kuna maiti zimeokotwa zikiwa na ubwabwa mdomoni 😂😂😂😂. Jamaa walikuwa wanapata msosi, HIMARS ikawagongea hodi.
Mhhh! Hakuna mahali hawa wazee wa HIMARS walitua halafu Mrussi akabaki salama - Hakuna. Hawa wazee wa HIMARS mara zote huondokaga na vichwa vingi.
 
HIMARS, hii kitu ikikohoa ujue imefanya yake. Imemfanya mrusi awe anaficha silaha kwa mafungu mafungu kama nyanya. Siku ikipata long range missile, atatoa meli zake za kivita Black sea na sea of Azov. Military Base zake za Kursk, Rostov, Krasnodar na Belgorod lazima asihamishe. Hizi ndo base kubwa zinazotumika ku supply silaha uwanja wa vita.
Mrussi kwa uduwanzi wake hatahamisha hizo base atasubiri kupata ushahidi kwamba Ukraine ameshapata long range missiles.
 
Lazima itaanza na maghala ya silaha yaliyopo ndani ya Urusi pamoja na meli zake za kivita alizozisogeza Novorossiysk kutoka sevastopol.
Mrussi akili kisoda hata umpe ushauri wa bure haelewi. Ngoja wazee wapate mnuso ndo akili itamkaa sawasawa
 
Hivi Urusi ilijua ikivamia Ukraine watakaokufa ni Ukraine tu? Vita wameanzisha Urusi, wanajeshi wao wakipasuliwa vichwa wanalia. Urusi ilikuwa na amani imetulia,sasa hivi kila siku ni kuzika.
 
Marekani itakuwa imempa Ukraine long range missiles
Na mimi naamini hivyo pia, unajua Marekani toka vita imeanzia akisema kitu hatafanya ujue ameshafanya tayari, mfano walisema wanafikiria kuipa Ukraine silaha za masafi marefu, mi nikajua mzigo tayari ndani ya Ukraine.
 
Hivi Urusi ilijua ikivamia Ukraine watakaokufa ni Ukraine tu? Vita wameanzisha Urusi, wanajeshi wao wakipasuliwa vichwa wanalia. Urusi ilikuwa na amani imetulia,sasa hivi kila siku ni kuzika.
View attachment 2443554
Ndio, Lakini bado njemba mmoja hajawekwa(Put) ndani(In) ili naye aweze kuchangia utengenezaji wa mbolea.
 
Back
Top Bottom