Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hivi vifaru wa Italia na vile vya Ufaransa 'Leclerec' mbona havitajwi Sana kama Leopard ?....ni kwamba vimezidiwa ubora au havina soko kubwa ?

T14 Armata
Hapo kakosea, Pz2000 sio vifaru ni self propelled howitzers.
Italy wana C1 Ariete na France wana Lecrerc ambavyo vyote hivi havina mass production. Lecrerc ndio vifaru vyenye bei kubwa duniani kwa sasa, watumiaji ni Ufaransa na nchi moja ya Kiarabu kama sikosei ni UAE. Kutokuwepo na operators wengi kunaondoa possible customers kwa kigezo cha economy of scale, longolongo sizazoendana na hii point ndio zinakimbiza wateja. Na geopolitics zinachangia
 
Hapo kakosea, Pz2000 sio vifaru ni self propelled howitzers.
Italy wana C1 Ariete na France wana Lecrerc ambavyo vyote hivi havina mass production. Lecrerc ndio vifaru vyenye bei kubwa duniani kwa sasa, watumiaji ni Ufaransa na nchi moja ya Kiarabu kama sikosei ni UAE. Kutokuwepo na operators wengi kunaondoa possible customers kwa kigezo cha economy of scale, longolongo sizazoendana na hii point ndio zinakimbiza wateja. Na geopolitics zinachangia
Ukraine wanapopokea silaha tofauti tofauti kama hizi ina maana inabidi ifanyike 'training' kwenye hivi vifaa ambayo imetofautiana muda kutokana na aina ya vifaru....hili haliweza kuleta tatizo mbeleni kwenye 'logistics' au kwenye offensive mfano kuwa na spare parts aina nyingi, tank shells aina nyingi... hasa ukizingatia baadhi yao havina uzalishaji mkubwa ?
 
Ila Ukraine wanapopokea silaha tofauti tofauti kama hizi ina maana inabidii ifanye training kwenye hivi vifaa ambayo imetofautiana kutokana na aina ya vifaa ?.....hii haiwezi kuwa tatizo kwenye offensive walioipanga ?
Trainings zinafanyika. Pia kuna Askari wa Nato wapo Ukraine kuwafundisha Silaha. Ukraine na Poland kila siku ni mafunzo. Achana na huyo anayesema Pz2000 sio vifaru. Hajielewi. Vipo vingi Ukraine. Huyu hajui self propelled howitzers ni nini wala inamanisha nini. Watu wajisomee
 
Jamaa anadai kwenye maisha yake, hskutegemea angeendesha kifaru
Sasa anawabutua Warusi.
IMG_20230124_160403_987.jpg
 
Hawa ni Wanajeshi wa anga wahehitimu leo. Humu ndo wapo watu wa kutumia dronea na kuzua Drones za Urusi. Pia wapo walinzi wa anga. Wamekula kiapo kuitumikoa Ukraine. Habari mbaya hii kwa Urusi
 
Back
Top Bottom