othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Apatikane wa kudisguise tu, si wanaongea lugha moja hao.Hafiki kwenye uwanja wa Vita, anaishia maeneo yaliyo chini ya udhibiti wa askari wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apatikane wa kudisguise tu, si wanaongea lugha moja hao.Hafiki kwenye uwanja wa Vita, anaishia maeneo yaliyo chini ya udhibiti wa askari wake.
Ushauri wa bureNguvu kubwa mno pamoja na vifaa imewekwa huko kwenye hicho kimji.
Akikujibu ni tag please.Nadhani unaongea kwa kuhisi una ushahidi wowote. Urusi hawaamini yaani, walijuia itakuwa rahisi.
Swali langu kwako ni;
1. Ukraine ana brigades nyingi kuliko Urusi hadi Urusi ishindwe kutoboa na kuanza kulialia?
2. Kama Brigades zote zimeenda Bakhmut, huko kwingine kwanini Urusi hawasongi mbele?
1. Jibu hoja ulizoulizwa acha kutapatapa. Kwani ukisema hujui kitu utadharaulika.Yapo maeneo mengi yaliyokwisha chukuliwa hiyo Bakhmut haitokua ya kwanza.
Takwimu tamu sana hii 👏👏👌👌Hizi ni Takwimu za kiongozi Wa Urusi alolamatwa huko Vuhledar.
Kwamba March 1, 2023 Walituma wanajeshi 100 Frontline kupambana na Ukriane huko Vuhledar, lakini walirudi 16 tu, na tarehe 5, March walienda 100 wakarudi 3. Hizi takwimu zimetolewa kwenye notebook yake
View attachment 2549947
Acha kujifanya mjuaji wewe,Ushauri wa bure
1. Usilolijua ni kama usiku wa giza. Full stop
2. waachie wenye military skills na jaribu kujifunza kupitia watu wenye uzoefu na wana skills za military. FULL STOP.
3. Usiokoteze propaganda za watu ambao hawajui hata uwanja wa vita ukoje. Full Stop.
Ukijua level yangu ya kufikiri inakuongezea nini ?...1. Jibu hoja ulizoulizwa acha kutapatapa. Kwani ukisema hujui kitu utadharaulika.
2. Hujui kuwa ndo unajianika mpaka watu wamejua level yako ya kufikiri na kwamba hujui chochote kinachoendelea uwanja wa vita.