Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Nguvu kubwa mno pamoja na vifaa imewekwa huko kwenye hicho kimji.
Ushauri wa bure
1. Usilolijua ni kama usiku wa giza. Full stop

2. waachie wenye military skills na jaribu kujifunza kupitia watu wenye uzoefu na wana skills za military. FULL STOP.

3. Usiokoteze propaganda za watu ambao hawajui hata uwanja wa vita ukoje. Full Stop.
 
Nadhani unaongea kwa kuhisi una ushahidi wowote. Urusi hawaamini yaani, walijuia itakuwa rahisi.

Swali langu kwako ni;

1. Ukraine ana brigades nyingi kuliko Urusi hadi Urusi ishindwe kutoboa na kuanza kulialia?

2. Kama Brigades zote zimeenda Bakhmut, huko kwingine kwanini Urusi hawasongi mbele?
Akikujibu ni tag please.
 
Yapo maeneo mengi yaliyokwisha chukuliwa hiyo Bakhmut haitokua ya kwanza.
1. Jibu hoja ulizoulizwa acha kutapatapa. Kwani ukisema hujui kitu utadharaulika.

2. Hujui kuwa ndo unajianika mpaka watu wamejua level yako ya kufikiri na kwamba hujui chochote kinachoendelea uwanja wa vita.
 
IMG_20230314_103633_282.jpg
 
Hizi ni Takwimu za kiongozi Wa Urusi alolamatwa huko Vuhledar.

Kwamba March 1, 2023 Walituma wanajeshi 100 Frontline kupambana na Ukriane huko Vuhledar, lakini walirudi 16 tu, na tarehe 5, March walienda 100 wakarudi 3. Hizi takwimu zimetolewa kwenye notebook yake
View attachment 2549947
Takwimu tamu sana hii 👏👏👌👌
 
Ushauri wa bure
1. Usilolijua ni kama usiku wa giza. Full stop

2. waachie wenye military skills na jaribu kujifunza kupitia watu wenye uzoefu na wana skills za military. FULL STOP.

3. Usiokoteze propaganda za watu ambao hawajui hata uwanja wa vita ukoje. Full Stop.
Acha kujifanya mjuaji wewe,
 
1. Jibu hoja ulizoulizwa acha kutapatapa. Kwani ukisema hujui kitu utadharaulika.

2. Hujui kuwa ndo unajianika mpaka watu wamejua level yako ya kufikiri na kwamba hujui chochote kinachoendelea uwanja wa vita.
Ukijua level yangu ya kufikiri inakuongezea nini ?...

tusipangiane cha kuandika kiazi wewe...
 
Back
Top Bottom