Yap. Wanamtafuta usiku na mchana na iko siku kitu kitakuwa biyee.Kitendo cha Drone kutua uwanjani ni salamu tosha kabisa. Ajue kuwa wanaume wako kazini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap. Wanamtafuta usiku na mchana na iko siku kitu kitakuwa biyee.Kitendo cha Drone kutua uwanjani ni salamu tosha kabisa. Ajue kuwa wanaume wako kazini.
Hiyo tar.10 May 2023 ni propaganda. Nyani sharti ateme hilo bungo alilonyakuwa. Asubiri vijana wa Ukraine wafike aone.Boss wa Wagners bwana Prigozhin amesema kama hali itaendelea hivi, wataondoka Bakhmut May 10 mwaka 2023. Hata hivyo Wagners wamefanikiwa kuchukua sehemu kubwa ya Bakhmut
View attachment 2611067
Hii habari sio ya uhakika. Fuatilia tena kwenye vyanzo sahihi hasa Jeshi la anga la Ukraine au Msemaji wa Jeshi la Ukraine. Usiiamini hiiWakuu lile kombola la hypersonic kumbe lina shuka tu wakuuView attachment 2611431