Special thread: Wapenda vinywaji visivyo na kilevi (non alcoholic) na changamoto wanazokutana nazo wakikaa na walevi

Nimependa hii
 
Naona hivyo, tangu lini akakuona na mchepuko wangu!!
Halaf hii kila akiniona lazima aniambie mambo za mimi kukulwa na babu [emoji30][emoji30] yaan huwa simuelewi na wakati babu ni shem darling wangu we@bigmind
 
Kuna siku nilikaa na walevi, wao wakaagiza vyao mi nikaagiza maji makubwa, nilishambuliwa sana, mmoja wao aliniuliza "hivi unafuga samaki, mbona unaagiza maji lita nzima?"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umenifurahisha sana agiza maji mengine nakuja kilipia
 
Kuna siku nilikaa na walevi, wao wakaagiza vyao mi nikaagiza maji makubwa, nilishambuliwa sana, mmoja wao aliniuliza "hivi unafuga samaki, mbona unaagiza maji lita nzima?"
Ahhaahahahahha
 
aiseeee kumbe tusiotumia vilevi tuko wengi kiasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…