Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Habari wadau,
Mimi ni si mnywaji wa vinywaji vyenye kilevi ni mnywaji wa vinywaji visivyo na kilevi kama juice, soda, bavaria, nk. Najua wapo wenzangu ambao nao ni wapenzi wa vinywaji hivyo.
Nikiwa kama mnywaji wa vinywaji visivyo na vilevi hua nakutana na changamoto sana wakati nikitoka na marafiki, wengine hunilazimisha ninywe, wengine hunicheka.
Mara waseme nawajazia nzi kwenye meza zao, mara sasa utaweza kukaa kweli mpaka usiku, utaboereka, onja basi kidogo.
Ajabu ni kuwa napenda sana kucheza muziki, muonekano wangu mimi ni mcheshi,yani ukiniona nacheza utasema huyu kanywa, sioni aibu.
Haya twende kwenye hoja;
Ni kero gani ambayo unakutana nayo wewe usiyekunywa.
Na ni kwa namna gani unaondokana nayo.
Karibuni
Mimi ni si mnywaji wa vinywaji vyenye kilevi ni mnywaji wa vinywaji visivyo na kilevi kama juice, soda, bavaria, nk. Najua wapo wenzangu ambao nao ni wapenzi wa vinywaji hivyo.
Nikiwa kama mnywaji wa vinywaji visivyo na vilevi hua nakutana na changamoto sana wakati nikitoka na marafiki, wengine hunilazimisha ninywe, wengine hunicheka.
Mara waseme nawajazia nzi kwenye meza zao, mara sasa utaweza kukaa kweli mpaka usiku, utaboereka, onja basi kidogo.
Ajabu ni kuwa napenda sana kucheza muziki, muonekano wangu mimi ni mcheshi,yani ukiniona nacheza utasema huyu kanywa, sioni aibu.
Haya twende kwenye hoja;
Ni kero gani ambayo unakutana nayo wewe usiyekunywa.
Na ni kwa namna gani unaondokana nayo.
Karibuni