Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Wadau TV FLAT NCHI 55 NAWEZA PATA KWA SHILINGI NGAP
Unapata kama ifuatavyo

BOSS 55" 1,320,000 Smart tv, warranty 2 years

TCL 55" 1,540,000 Ni smart TV pia warranty 2 years

Karibu sana mkuu 0717016789
 
samsung 40inch series 5 led haina kitako
  • inatakiwa 650k tu ipo katika hali nzuri
  • haina stand ila unaweza bandika ukutani
  • ipo na remote yake
  • resolution ni 1080p
  • in hdmi port 2na usb port
  • inasoma na flash
  • imetengenezwa malaysia
  • kama upo interest na seriou nicheki kwa 0716917896
 
brand new Star X led TV inch 43
Gold edition
690,000/
0713662655
 
BOSS Smart TV 43" ipo dukani ila imegongwa kidogo kwenye Kioo na kuweka kamchirizi kadogo. Bei yake kwa sasa itakuwa ni 420,000/-. Bado ina kila kitu mpaka Warranty

Picha zake na video tizama chini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


Maongezi yapo 0717016789
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…