Peter Mabala
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 1,216
- 1,680
Mkuu fanya biashara.Noma hyo mkuu... labda kama nalipa kwa uliemtuma mzigo
750000Wadau natafuta TCL 43 naweza pata Kwa bei gani?
Shukran mkuuMkuu fanya biashara.
Alinitumia mzigo wangu kwa njia ya posta nikaupokea singida ukiwa salama kabisa.
Ninamwamini Abdul kwa 99%
Hiyo 1% iliyobaki naiacha katika u binadamu wake.
Naitaka hio leo leoNjoo nitakuuzia
Ukiitaji lg mpya niambie, ni 530000 tuWakuu naulizia kwa mwenye home thetre za samsung mtumba za watt 1000 zinabei gani nahitaji
Nina 450k ndo maana nilitaka usedUkiitaji lg mpya niambie, ni 530000 tu
Kuna jamaa yangu anaitwa SALUM S HEMED alipotelea wap tumemis item zake
mkuu nipo kwa more item huwe unanicheck instgram kwa jina la tv_usedKuna jamaa yangu anaitwa SALUM S HEMED alipotelea wap tumemis item zake
ipo hio kwa 450....ipo magomeni mapipa dar es salamaWakuu naulizia kwa mwenye home thetre za samsung mtumba za watt 1000 zinabei gani nahitaji
shunie sultana wake M upo poa?Ngoja nikuitie mkuu
shunie sultana wake M upo poa?
Poa mkuuNina 450k ndo maana nilitaka used
Inch 49 hio 200000/= nakupa sahv ntumie no zakolg smart tv inch 65 4k tv bei 4000000, samsung inch 55 curved 4k tv series 7 bei 2700000/= samsung curved inch 49 series 7 ni 4k tv bei 200000/= zote zina 2years warrantyView attachment 819298View attachment 819301View attachment 819302View attachment 819303
avatr yangu no zangu zipo...nicheck 0629565168Inch 49 hio 200000/= nakupa sahv ntumie no zako